Sijui nani anishawishi kujifunza HIYO lugha isee
Sijui nani anishawishi kujifunza HIYO lugha isee
Sijui nani anishawishi kujifunza HIYO lugha isee
Amini au usiamini,
Ma Billions ya watu duniani (hata hapa Tanzania) wanaitumia lugha ya Kiarabu kusoma Quran, kuongea na katika sala zao.
Kule peponi nasikia kwa waislamu waliokwishafika kwamba kama unajua kusoma kur aan unapelekwa gesti ndani kuna mabinti saba wote mabikra. sasa sijaambiwa wanawake wakifika huko wanapewa kitu gani. hebu kwa aliyefika na kurudi atuhabarishekwa anaye penda namshauri ajifunze kwani ndiyo lugha ya peponi mimi ni muislamu na ninaamini katika hili na wala si hitaji ushauri wowote juu ya hili kwani katika imani ni kuamini na kufuata kama jinsi maandiko matakatifu katika qur an yanavyo nena ewe m.mungu nisaidie katika hili
Sijui nani anishawishi kujifunza HIYO lugha isee
Kwani lazima u-comment? Kuna threads nyingi sana jf, changia yenye maslahi na wewe...
Kule peponi nasikia kwa waislamu waliokwishafika kwamba kama unajua kusoma kur aan unapelekwa gesti ndani kuna mabinti saba wote mabikra. sasa sijaambiwa wanawake wakifika huko wanapewa kitu gani. hebu kwa aliyefika na kurudi atuhabarishe
mchango wa kipumbavu!
Waislamu duniani hawafiki bilioni moja labda uhesabu na waliokufa
kaka kuna waislamu na waislamu jina. yaani wale tunaokunywa nao bia. viroba. tunaopishana nao gesti. tunaokula nao mbuzi katoliki. hawa wote wana majina ya kiislamu lkn hawana dini