Jifunze Lugha ya Kiarabu

Jifunze Lugha ya Kiarabu

Mr. Mahmood unakosea kusema wajifunze waislamu,unamaanisha uarabuni wanaishi waislamu tu au wasio waislamu lugha ya kiarabu siyo haki yao kujifunza? Mi binafsi najuwa kiarabu ni lugha kama lugha zingine za kigeni kama kiingereza,kichina,kifaransa,kiitaliano.. Hivyo kubagua kundi moja tu hutendi haki kwa wanaopendakujifunza.

Amesema itawasaidia hasa waislam kwenye kusoma Quran hajasema waislam pekee...munamquote vibaya mleta mada
 
Pale inapokuwa hujui jaribu kuwa kimya usijisemee tu kwa hata usiyoyajua.

CHURCH.jpg
 
Anaitwa Allah kwa kiarabu.
Na Mungu wa Waislam anaitwaje? Maana Jehova yeye kajitambulisha kuwa ni Mungu wa Israel, anabariki waibarikio Israel na anawalaani wailaanio Israel. Yeye alimtuma Yesu ili aokoe ulimwengu,
tena yeye alimuumba mwanadamu kwa mfano wake, wakati Allah Mungu wa waislam hafanani na kiumbe chochote
 
Nashangaa watu kusema Kiarabu ni lugha ya kigaidi, je na Dar es Salaam au دار السلام kama walivyoupa jina Warabu ni mji wa kigaidi ? 🐞
 
Na Mungu wa Waislam anaitwaje? Maana Jehova yeye kajitambulisha kuwa ni Mungu wa Israel, anabariki waibarikio Israel na anawalaani wailaanio Israel. Yeye alimtuma Yesu ili aokoe ulimwengu,
tena yeye alimuumba mwanadamu kwa mfano wake, wakati Allah Mungu wa waislam hafanani na kiumbe chochote
Aiseee
This is getting serious
 
Mdau Mahmood ahsante kwa app. Kuna watu wanafikir kujifunza lugha ya kiarabu no uislam ni kawaida watanzania hatupendi kujifunza
 
Last edited by a moderator:
Nipo chimbo najifunza kiarabu kwa HISANI YA MAJINI.
 
Mkuu Mahmood sasa mbona hii software haifanyi kazi?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom