manushichini
Member
- Jun 28, 2012
- 26
- 13
Inaposemwa idadi ya wakristo duniani ni bilioni... pia inajumuisha wakristo jina. Kwa hiyo ukweli uko pale pale, idadi ya sasa ya waislamu duniani ni zaidi ya bilioni moja?
Hujalazimishwa wewe nenda kaendelee kujifunza kunywa gongo
Amini au usiamini,
Ma Billions ya watu duniani (hata hapa Tanzania) wanaitumia lugha ya Kiarabu kusoma Quran, kuongea na katika sala zao.
1) Kweli , hajalazimishwa.
2) Kujifunza lugha mpya ni faida (si hasara).
tena acha kabisa hiyo lugha,utakuwa gaidi sasa hivi,allah hana masikhara hata kidogo...nadhani umenielewa niliposema allah...allah sio Mungu,wanamjua wao wenyewe wajjahidinna
Waganga wa kienyeji hii lugha wameimaster kweli. wanaitumia kuitia maruani.
kwa anaye penda namshauri ajifunze kwani ndiyo lugha ya peponi mimi ni muislamu na ninaamini katika hili na wala si hitaji ushauri wowote juu ya hili kwani katika imani ni kuamini na kufuata kama jinsi maandiko matakatifu katika qur an yanavyo nena ewe m.mungu nisaidie katika hili
Kwani lazima u-comment? Kuna threads nyingi sana jf, changia yenye maslahi na wewe...
Nilikuwa naomba ushawishi kama nijifunze ama lah ila kwa comments hizi sijashawishika kabisa.
tena acha kabisa hiyo lugha,utakuwa gaidi sasa hivi,allah hana masikhara hata kidogo...nadhani umenielewa niliposema allah...allah sio Mungu,wanamjua wao wenyewe wajjahidinna
Ndugu zangu hii phone application ya kujifunza lugha ya Kiarabu kwa Kiswahili nzuri sana kwa family (hasa kwa Waisilamu, itawasaidia kusoma Quran In Sha Allah) inafanya kazi katika simu za Android 
Check out "Jifunze Kusoma Kiarabu" - https://play.google.com/store/apps/details?id=com.MDS.kiarabu
Nilikuwa naomba ushawishi kama nijifunze ama lah ila kwa comments hizi sijashawishika kabisa.
tena acha kabisa hiyo lugha,utakuwa gaidi sasa hivi,allah hana masikhara hata kidogo...nadhani umenielewa niliposema allah...allah sio Mungu,wanamjua wao wenyewe wajjahidinna
Sijui nani anishawishi kujifunza HIYO lugha isee
Ndugu zangu hii phone application ya kujifunza lugha ya Kiarabu kwa Kiswahili nzuri sana kwa family (hasa kwa Waisilamu, itawasaidia kusoma Quran In Sha Allah) inafanya kazi katika simu za Android 
Check out "Jifunze Kusoma Kiarabu" - https://play.google.com/store/apps/details?id=com.MDS.kiarabu
Kule peponi nasikia kwa waislamu waliokwishafika kwamba kama unajua kusoma kur aan unapelekwa gesti ndani kuna mabinti saba wote mabikra. sasa sijaambiwa wanawake wakifika huko wanapewa kitu gani. hebu kwa aliyefika na kurudi atuhabarishe
Waislamu duniani hawafiki bilioni moja labda uhesabu na waliokufa
duh.kiarabu cha nin kwan?????kwao wanajilipua tu.very uncivilized.mabomu ya kuvaa,kuuana.jaman ivi ntapata nn kujua iyo lugha kama si shida.kamwambie samatha lee white na syria uko.au boko haram.khaa