Jifunze Lugha ya Kiarabu

duh.kiarabu cha nin kwan?????kwao wanajilipua tu.very uncivilized.mabomu ya kuvaa,kuuana.jaman ivi ntapata nn kujua iyo lugha kama si shida.kamwambie samatha lee white na syria uko.au boko haram.khaa
 
Inaposemwa idadi ya wakristo duniani ni bilioni... pia inajumuisha wakristo jina. Kwa hiyo ukweli uko pale pale, idadi ya sasa ya waislamu duniani ni zaidi ya bilioni moja?

Hapana kaka. Idadi ya wakristo inachukuliwa kwenye nyumba za ibada kwa kuhesabu wenye bahasha hai. wale wakristo jina wanaoshinda bar na kulala gesti wakiwa wamelewa navimada huwa hawana bahasha hivyo kwenye sensa hawahesabiwi
 
Hujalazimishwa wewe nenda kaendelee kujifunza kunywa gongo

Amini au usiamini,

Ma Billions ya watu duniani (hata hapa Tanzania) wanaitumia lugha ya Kiarabu kusoma Quran, kuongea na katika sala zao.

1) Kweli , hajalazimishwa.

2) Kujifunza lugha mpya ni faida (si hasara).

tena acha kabisa hiyo lugha,utakuwa gaidi sasa hivi,allah hana masikhara hata kidogo...nadhani umenielewa niliposema allah...allah sio Mungu,wanamjua wao wenyewe wajjahidinna

Waganga wa kienyeji hii lugha wameimaster kweli. wanaitumia kuitia maruani.


Kwani lazima u-comment? Kuna threads nyingi sana jf, changia yenye maslahi na wewe...

Nilikuwa naomba ushawishi kama nijifunze ama lah ila kwa comments hizi sijashawishika kabisa.
 
IPO yakujifunza kuongea kiarabu maana Kuna ambao wanajua kusoma lkn kazi IPO kuongea
 
tena acha kabisa hiyo lugha,utakuwa gaidi sasa hivi,allah hana masikhara hata kidogo...nadhani umenielewa niliposema allah...allah sio Mungu,wanamjua wao wenyewe wajjahidinna

wee bwabwa laiti ungejua hii lugha unayotumia kutungozea wanaume waipasue EXPRESS YOURSELF yako ina zaidi ya 20% kiarabu!! poyoyo we. makhnuth wahed
 
tena acha kabisa hiyo lugha,utakuwa gaidi sasa hivi,allah hana masikhara hata kidogo...nadhani umenielewa niliposema allah...allah sio Mungu,wanamjua wao wenyewe wajjahidinna

Haha, Teh, Teh...

Ukijifunza lugha utakuwa gaidi?

Mbona kuna Watanzania wengi tu wanajua lugha ya Kiarabu lakini sio Magaidi.

Mie najua lugha ya Kiarabu lakini sio gaidi.

Teh, Teh....

acha ushamba bwana.
 
Waganga wa kienyeji hii lugha wameimaster kweli. wanaitumia kuitia maruani.

Acha uongo, haoni aibu!? , ndio maana hauna maendeleo, sema kweli bana.

Maruani wako hao wanaongea lugha ya Kiswahili pia, Teh, Teh...
 
Kwanini umesisitiza waislamu? Kwani wakristu haiwafai? Hii si lugha tu? Kwani hakuna bible zilizoundikwa kiarabu? Mai smuka(what is your name)?

Hata Wakristo wanaweza ku-download bro. Hamna tabu bro.

Thank you.
 
Kule peponi nasikia kwa waislamu waliokwishafika kwamba kama unajua kusoma kur aan unapelekwa gesti ndani kuna mabinti saba wote mabikra. sasa sijaambiwa wanawake wakifika huko wanapewa kitu gani. hebu kwa aliyefika na kurudi atuhabarishe

Mbona unajidanganya mwenyewe bro, hiyo gesti umeitoa katika kitabu gani ?

Leta uthibitisho wa aya (leta aya inayo taja Gesti hiyo).
 
maashaalah yah habib...nabata ushungu walah nasumbua akili yangu..yah latwif...ooh haste haste kuchikuchi hota he..
 
duh.kiarabu cha nin kwan?????kwao wanajilipua tu.very uncivilized.mabomu ya kuvaa,kuuana.jaman ivi ntapata nn kujua iyo lugha kama si shida.kamwambie samatha lee white na syria uko.au boko haram.khaa

Nenda kasome zaidi Bro,

Nenda kasome history za manabii wote wametoka inchi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…