Senior masai
Member
- Jul 7, 2016
- 88
- 89
Habari wanaJF,
Natamani ningepata mtu wa kunitengenezea application au system ya watu kujifunza lugha mpya za kibantu na zile za zisizo za kibantu.
Kwa yeyote anaeweza kuandaa mfumo kama huu ukafanya kazi kwa mifumo ya sauti na maandishi
Namna ya watu kutamka maneno pia kuyaandika.
Mfano mtu ni mbena na anataka ajifunze kichaga au kipare mpaka akifahamu chote.
Nitagharamikia kama litafanikiwa hili.
NATANGULIZA SHUKRANI
Natamani ningepata mtu wa kunitengenezea application au system ya watu kujifunza lugha mpya za kibantu na zile za zisizo za kibantu.
Kwa yeyote anaeweza kuandaa mfumo kama huu ukafanya kazi kwa mifumo ya sauti na maandishi
Namna ya watu kutamka maneno pia kuyaandika.
Mfano mtu ni mbena na anataka ajifunze kichaga au kipare mpaka akifahamu chote.
Nitagharamikia kama litafanikiwa hili.
NATANGULIZA SHUKRANI