Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribu na huu pia ni mzuri Angyy...
Hiyo ni cake au mkate? wingi wa sukari na mayai unaondosha hilo jina na hivyo kuwa keki
Poa Dada mdogo
Mpikie mkwe wangu. ..yule wa mwisho akwaruze mafizi..lol
Wa mwisho tena? Angel Nylon ndio ushamaliza? Lol
mkuu samahani hivi huu mkate jiko la mkaa au gesi naweza kutumia vipi hizi flavour zinaptikana wapi mbali na arki rose flavour zingine ni zipi nashkuruMahitaji
1)Tambi 500g
2) maji 3-4cups
3)sukari 1 cup
4)1/4 hiliki iliyotwangwa
5)tui la nazi 1 cup
6)samli 1 tablespoon.
7)Arki ya rose au flavor yoyote unayopendelea
Namna ya kutaarisha
1)changanya maji,sukari,hiliki na tui la nazi kwenye sufuria
2)weka kwenye moto mdogo mdogo hadi vichemke
3)vunja vunja tambi na uweke
4)pika hadi tui la nazi likauke
5)pakaza samli juu yake
6)washa oven 300°-350° then oka mkae wako....hakikisha unawiva vizuri...
7)mkate wa tambi tayari kwa kuliwa...