Jifunze namna ya kutengenza Mkaa kwa kutumia takataka za shambani

Mkuu unaweza kuelezea kidogo drier mlizonazo zimetengenezwa wapi na zinafanyaje kazi?
Kiufupi kampuni yetu inajihusisha na manufacturing/fabrication and design of several machine, hizi drier tunatengeneza wenyewe. Briquette(mkaa) huwa unasafiri (by chain conveyor) katika closed line ambayo iko indirect contact na heat ambayo inazalishwa na hayo mafuta machafu. Ni rahisi na iko efficiently, yani mkaa ukitoka hapo unapack katika mifuko tayari kwenda sokoni.
 

Kaka kama unaweza naomba utupe Jina la kampuni yenu,anwani na bei ya hiyo dryer.Ilikuwa nianze hii kazi ya kutengeneza mkaa sema nikwa na changamoto sehemu ya kuanika coz eneo hakuna.
Na je hiyo drier ndio pia machine ya kutengeneza mkaa au yenyewe ina kausha peke yake.
Asante sana na Ubarikiwe
 
Salaama mkuu..drier ni ya kukaushia tu. haitengenezi mkaa.
 
Salaama mkuu..drier ni ya kukaushia tu. haitengenezi mkaa.

Asante ila hujatupa jina la kampuni yenu na mawasiliano ya jinsi ya kuwapata.Mimi nahitaji hiyo drier seriously kama itakuwa sio garama kubwa sana
Tafadhali naomba nijuze jinsi ya kuwapata
 
Ndugu dikembe, bado mnazo hizo mashine za kutengeneza briquettes? Kama zipo, tafadhali taja namba za simu, na mnapopatikana
 
Asante sana mkuu maana nilikuwa nimeazimia kufanya mradi huu punde baada ya kumaliza kusoma uzi huu
 
Bei ni kiasi gani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…