Jifunze Sheria kwa njia ya mtandao

Jifunze Sheria kwa njia ya mtandao

Elimu ya Sheria

New Member
Joined
Sep 23, 2019
Posts
3
Reaction score
3
Sheria ni elimu muhimu sana kwa kila mtu kuijua kwa sababu mbalimbali ambazo ukishakuwa mtu mzima huhitaji kuelezwa sana, maana utakuwa ushakutana na mkono wa sheria katika mapito ya maisha, au ushapoteza haki zako kwa kutojua sheria.

Hivyo basi nawakaribisha wale wanaotaka kujifunza katika Program ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao.

Hii ni elimu isiyo rasmi (kwa maana ya kwamba hautapata cheti kinachotambulika katika mfumo wa elimu Tanzania), lakini ni elimu ambayo itaweka maarifa rasmi kichwani mwako ambayo unaweza ukayatumia kufanikisha mambo yako.

Maelezo zaidi yamo kwenye kipeperushi kilichoambatanishwa.
 

Attachments

Nimeshindwa kufungua hicho kiambatanisho,weka namba ya simu mwanasheria nahitaji kujifunza sheria
 
Sheria ni elimu muhimu sana kwa kila mtu kuijua kwa sababu mbalimbali ambazo ukishakuwa mtu mzima huhitaji kuelezwa sana, maana utakuwa ushakutana na mkono wa sheria katika mapito ya maisha, au ushapoteza haki zako kwa kutojua sheria.

Hivyo basi nawakaribisha wale wanaotaka kujifunza katika Program ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao.

Hii ni elimu isiyo rasmi (kwa maana ya kwamba hautapata cheti kinachotambulika katika mfumo wa elimu Tanzania), lakini ni elimu ambayo itaweka maarifa rasmi kichwani mwako ambayo unaweza ukayatumia kufanikisha mambo yako.

Maelezo zaidi yamo kwenye kipeperushi kilichoambatanishwa.
Tunajiungaje?
 
Back
Top Bottom