Kwetu Iringa
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 355
- 89
Hodi wanaJF!!
Pamoja na kujitangaza sana kuwa wanasafirisha pesa bila malipo, system nzima ya airtel money haijatulia. Ukiitumia, it is at your own risk! Kama huamini, ijaribu ikiwa pamoja na kununua umeme.
Source: Rafiki yangu anayefanya kazi Airtel Money
Pamoja na kujitangaza sana kuwa wanasafirisha pesa bila malipo, system nzima ya airtel money haijatulia. Ukiitumia, it is at your own risk! Kama huamini, ijaribu ikiwa pamoja na kununua umeme.
Source: Rafiki yangu anayefanya kazi Airtel Money