Jihadhari na makampuni ya Kitanzania yanayoagiza magari

  1. Real Motor Japan
  2. Global Partner
  3. Car junction
  4. Makampuni yako mengi sana wameuza magari kitambo sana hata kabla baadhi ya watu kuzaliwa hapa JF,fatilia makampuni yote ambayo yako chini ya Trade car view wanauza magari mazuri kwa bei mzuri kwa muda mrefu, hata makampuni tajwa walianzia Trade Car View kukariri kampuni au tekinolojia kwenye karne hii eti kwasabu ya matapeli sidhani kama inweza kumsaidia mtu bali nikuyaondolea ushindani makampuny tajwa .
  5. Kama unashida na gari unatakiwa kulinganishe bei na ubora wa gari kutoka kwenye makampuni mbalimbali mimi siko hapa kupotosha mtu yoyote au kulazimisha mtu kuagiza gari kupitia kwenye kampuny yetu tayari tunawateje wetu kitamba ambao tunafanya nao kazi pia tuna deal na vitu vingi zaidi ya magari nilichangia hii mada baada yakuikuta kama mtu mwingine na siungi mkono utapeli kama baadhi ya watu walivyo nishtumu .
 
1.Ads zinakuja kabla ya contents jibu nikweli uwezi kuzificha kisha ukaziita ADs sema nini uki login ADs zote zinakua invisible iliku kupisha content.

2.Pia naona forums nyingi hazijawa updated for more than a month. jibu Forums kawaida zinakuwa solved au unsolved ningumu kuifanyia update

3.Also majukwaa yamejificha sana mpaka uscroll kwenda chini ndio utaona forums mbalimbali. Ukitaka ulinganishaBusiness forums na JF ni sawa na kukariri tekinoloji kila website au Forums ina features zake kulingana na matumizi.

4.Pia sijaelewa kwenye auction kuna kuweka 30,000 na ile 50,000 ina maana bid ikichukuliwa na mwingine hela inakuwa refunded? Auction ina refund kila mtu aki bid kuna option kulingana na muuzaji kaseti nfumo gani utumike.

5.Pia jitahidi iwe user friend kuaccess majukwaa like hapa JF ni easy majukwaa yapo juu tu ukitaka kuingia Hapa sijakulewa unamaana gani.

kwakifupi ni hivi mtu yeyote anweza kuweka bidhaa zake kwenye website yetu akiwa popote Dunia na kafanya biashara na kupokea pesa nfumo wetu unakutanisha watu watatu ili biashara ikamilike.
1.Sellers
2.Buyers
3.Admins
 
Mkuu naomba usome vizuri kisha uniambia wapi nime discourage wanaotaka kuagiza magari?
 
Hivi huyu jamaa ameweza kuku-twist mpaka ukalainika? Unaona kweli hiyo link aliyoweka ni forum yenye hadhi ya kuaminika? Angalia usije kulizwa hapa. Tumieni website zinazoaminika ambazo umepewa link, hizo za Befoward na hiyo nyingine.
Mkuu unaonekana ni member muda hapa jf jifunze kusoma na kuelewa kabla ya ku comment, baadhi ya watu hapa jf wana comment kwanza kisha wanasoma thread huu sio utamaduni mzuri.
 
Ogopa sana matapeli wanakuja apa kutaja kampuni zao kwa kujifanya mm niliagizaga mahali flani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji110]
 
1.Hizo changamoto na kasoro ulizozisema hapo juu ingekua vizuri ukazitaja ili baadhi ya watu wazijue kabla ya kuagiza magari kupitia kwenye makampun tajwa.
2. Kutapeliwa sio kuibiwa pesa zako tu hata kuuziwa gari ambalo liko chini ya viwango bila kuambiwa ukweli baadhi wanauziwa kwa bei kubwa sana pia ni utapeli.
3.Kuagiza gari sio kutoa pesa za manunuzi ya gari unaweza kuja offisi kwetu ukasema unataka gari aina gani ukaagiziwa gari lako likafika bila kutoa pesa ukalipia baada ya kuliona pia nikuagiza gari.
4.Utapeli upo kila sehemu sio Tanzania tu ukitapeliwa unatakiwa kutaja jina la Kampun ambayo imekufanyia utapeli badala ya kuogea jumla jumla kisha ukatataja makampuni mawili tu ukasema hawa sio matapeli makampuni mengine yote yaliyobaki ni matapeli hii pia nayo sio sawa.
 
unashindwaje jisajili tradecarview , be foward au sbt ukaagiza gari mwenyewe?
hao jamaa.janja janja sana bora uende showroom ukachague mwenyewe kama huwezi agiza
 
unashindwaje jisajili tradecarview , be foward au sbt ukaagiza gari mwenyewe?
hao jamaa.janja janja sana bora uende showroom ukachague mwenyewe kama huwezi agiza
Mkuu ungesoma kwanza mada ukailewa kabla ya kuchangia nani kasema anataka kuagiza gari?


Habari wa JF,

Katika pita pita zangu mitandaoni hasa JF na instagram nimeona kuna kampuni/watu wanaofanya huduma za kuagiza magari nje kwa masharti ya kulipia nusu na kumalizia kiasi kilichobaki baada ya gari kufika. Mengi ya makampuni hayo (Sisemi wote) ni "MATAPELI WAKUBWA SANA" na huu ni mchezo ambao huwafanyia wateja wao.
 
Ahsante kwa elimu mkuu, nimejifunza kitu
 
Ok
 
Mkuu umechambua vizuri sana tatizo uelewa wa mswahili zero umepoteza muda wako mswahili hataki kujifunza kitu kipya ndio maana wanatapeliwa SBT na Beforward ni makampuni ya Wahindi na wapakistani sio Wajapan ndio maana wanauza magari mabovu miezi mitatu gari chalii alafu mswahili anajiona mjanja sana mjuaji wa kila kitu Mjapan ni mkweli gari kama ni zero Grade anakueleza ukikubali utalipia pesa kidogo.
 

Kwani hizi kampuni za wabongo wao ndio hawauzi magari mabovu?. Ndio ambazo zinazungumziwa hapa

Je hawa watanzania sio waswahili wajanja na wajuaji wa kila kitu, wanaocheza hadi na kilometres za magari?
 
Kwani hizi kampuni za wabongo wao ndio hawauzi magari mabovu?. Ndio ambazo zinazungumziwa hapa

Je hawa watanzania sio waswahili wajanja na wajuaji wa kila kitu, wanaocheza hadi na kilometres za magari?
Hapa sijaona kampuni yoyote ya wabongo zaidi ya porojo makampuni yote Dunia yana majina sijaona jina hata moja la kampuni inayoshutimiwa kufanya utapeli, mleta mada ametumwa na Be forward na SBT kuchafua makampun ya wazawa kwaujila kidogo nanyie mnaingia kwenye mtego na kukandamiza nduguzenu kwatuhumu za uongo nakushangili wahindi wakichukua fursa zenu mswahili acha ujinga amka kwenye usingizi wa pono mleta mada kama kweli anachokiongea ataje jina la kampuni na watu wote waliotepiliwa kwa namna moja au nyingi waweke ushahidi wasije porojo na kuchafuliana hii ni tabia mbaya sana watu wanalipa kodi wanaajiri watu mtu moja naishi kwa shemeji yake anakuja nakufungua uzi wakuchafua makampuni bila ushahidi.
 
Wee nae mshamba tuu ujui lolote odometer unaweza kupunguza ikasoma hta 0
Nani ajui lolote? Mambo ya odometer yote ni yakukoteza tu lengo nikuchafua watu fulani ili watu fulani wafanye kazi ukiombwa ushahidi makampuni ya wazawa wakishu hizo km utweza kuuleta hapa je hawa Be forward na SBT unaukikagani kama awashushi hizo km?
 

Kampuni za bongo ni janja janja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…