Jihadhari na makampuni ya Kitanzania yanayoagiza magari

Jihadhari na makampuni ya Kitanzania yanayoagiza magari

Watu wanatapeliwa nyie mnakalia uzawa uzawa. Kwani mimi uliyenitapeli sio mzawa?

Nyie ndio wale mnashirikiana nao mpo kwenye group za whatsapp mnajaza watu upepo....

Pathetic....
Kwenye magroup ya whatspp na FB ndio kuna makampuni ya waagizaji wa magari nani asiejua kumejaa utapeli na sio wa magari tu bali kunautapeli wa kila aina na sio hapa Tanzania tu bali ni sehemi kibao Dunia pia wanaotapeliwa kupitia kwenye magroup ni washamba tatizo hapa ni kichwa cha habari kinaonyesha nia yako kwa makampuni ya ndani kuwa sio mzuri pia na mtazamo wako pia kwa makampuni ya ndani sio mzuri.
 
Kwenye magroup ya whatspp na FB ndio kuna makampuni ya waagizaji wa magari nani asiejua kumejaa utapeli na sio wa magari tu bali kunautapeli wa kila aina na sio hapa Tanzania tu bali ni sehemi kibao Dunia pia wanaotapeliwa kupitia kwenye magroup ni washamba tatizo hapa ni kichwa cha habari kinaonyesha nia yako kwa makampuni ya ndani kuwa sio mzuri pia na mtazamo wako pia kwa makampuni ya ndani sio mzuri.
Kwani hata wakiwa na website si watakupa contact na mwishowe wataanza kuwasiliana na wewe through whatsapp? Na ofsini utapelekwa na kupigwa utapigwa.... Haki yako unaweza ipata ila kwa ubabaishaji...

Tapeli ni tapeli na wabongo wengi ni matapeli...

We angalia aina za magari yote kilomita ni chini ya 60,000. Wizi tu.
 
Hata wakina Beforwad na Autocom ni makampuni yanayo deal na magari ya ajali, mafuriko na grade za chini sana. Ndio maana gari zao ni Cheap

Mwenye rating ya gari za grade ya juu sana na watanzania wengi hawanunui huko ni enhance-auto.jp hao wana gari chache lkn za bei mkasi Na za ubora, kwasababu wanauza grade nzuri sana.

Enhance gari zao huwez kuta za ajali, au zenye kutu. Ingia hata kwa website yao uone bei na quality ya gari na mara nyingi wanaweka auction sheet wazi.

Ila akina bi-mbele[emoji38][emoji38] kama kawa kama dawa sema ni waaminifu ila gari zao ni choka mbaya
 
Hata wakina Beforwad na Autocom ni makampuni yanayo deal na magari ya ajali, mafuriko na grade za chini sana. Ndio maana gari zao ni Cheap

Mwenye rating ya gari za grade ya juu sana na watanzania wengi hawanunui huko ni enhance-auto.jp hao wana gari chache lkn za bei mkasi Na za ubora, kwasababu wanauza grade nzuri sana.

Enhance gari zao huwez kuta za ajali, au zenye kutu. Ingia hata kwa website yao uone bei na quality ya gari na mara nyingi wanaweka auction sheet wazi.

Ila akina bi-mbele[emoji38][emoji38] kama kawa kama dawa sema ni waaminifu ila gari zao ni choka mbaya
Wabongo wengi hata zilizopata ajali hawana na pesa yako nyingi wakutapeli wewe huoni tofauti?
 
Hata wakina Beforwad na Autocom ni makampuni yanayo deal na magari ya ajali, mafuriko na grade za chini sana. Ndio maana gari zao ni Cheap

Mwenye rating ya gari za grade ya juu sana na watanzania wengi hawanunui huko ni enhance-auto.jp hao wana gari chache lkn za bei mkasi Na za ubora, kwasababu wanauza grade nzuri sana.

Enhance gari zao huwez kuta za ajali, au zenye kutu. Ingia hata kwa website yao uone bei na quality ya gari na mara nyingi wanaweka auction sheet wazi.

Ila akina bi-mbele[emoji38][emoji38] kama kawa kama dawa sema ni waaminifu ila gari zao ni choka mbaya
Ukweli ni kwamba Iliuweze kufanya biashara ni lazima usome soko linatakaje, ukifanya kinyume na matakwa ya soko magari yako au bidhaa zako utapiganazo picha nfano mzuri nenda kariakoo makampuni kama Panasonic, Philips, Hitachi, Honda, shap ... bidhaa zao ni adimu sana kwasabu wateja wanaangalia bidhaa za bei nafuu bila kuangalia ubora wa bidhaa .

Wanunuzi wengi wanatafuta magari ya bei chee ukiweka magari yenye viwango kwenye tovuti yako baadhi ya wateja watakuona mwizi kutona na uelewa ndogo ndio maana Makampuni mengi ya Wajapan na wazungu wanatafuta masoko ulaya na nchi zingine kutokana na changamoto kama hizi, bidhaa nynigi tunazouziwa Africa viwango vyake vinautata bora used ulaya kuliko bidhaa mpya.

Baada ya kugundua changamoto za bei na viwango tukaweka huduma ya mteja kuagiza bidhaa au gari lenye grade nzuri kwa gharama nafuu sana nfano unataka gari lenye grade mzuri mteja wetu anaweka order tunamshirikisha kwenye mchakato mzima baada ya manunuzi kukamilika mteja atalipia gari lake kwa bei za kawaida .
 
Hii nimeikuta sehemu na wewe ulikoment siku hiyo leo unatuambia waswahili matapeli,ukitapeliwa na Be forward unaita changamoto

Kuna rafiki yangu aliagiza noah kupitia hii kampuni ya Be forward , kulipokea gari bandarini dar , Tairi zote hazikufaa kutoka gari hapo ubungo ni mbovu na ball joint zote miguu ya mbele zilikuwa zimekufa.changamoto sio? Ulichokisema mkuu Uko sawa sawa kabisa.
Wana ofisi kule Moshi Kilimanjaro, ina Japan mfanyakazi mmoja , Kila siku anatafutwa na wafanyakazi wa uhamiaji .

Unatumia nguvu nyingi. Ueleweki unachotuzungumza. Sijawai kua na mjadala na wewe
 
Umesoma huo uzi au umeweka link tu? Kaibiwa vifaa gari likiwa wapi?
 
Hii nimeikuta sehemu nikasema ngoja ni share na wewe kidogo mkuu Be forward wamejaza watu wangi mitandaoni kazi yao ni kupiga propaganda lakini ukweli magari yao sio.


Sidhani kama ni wahuni ila kwa experience ya watu wachache naowajua, gari za hii kampuni ni unanunua at your own risk. Hawana gari nzuri kama kwa mfano TRUST (japanesevehicles.com) au enhance auto, realmotor, autocom. Kuna watu wawili gari zikikuja na hali mbaya, moja ikakataliwa na TBS, mpaka repairs fulani zifanyike. Ila hizi kampuni nyingine gari hata ikiwa na mileage kubwa bado inakuwa nzima sana.
The same ina apply hata kwa beforward lazima upewe vehicle inspection sheet na ujue grade ya gari yako....

Tofauti ya beforward na hawa wabongo wa instagram ni kuwa hawa wabongo ni madalali juu ya madalali yani wanakununulia gari kwenye hizi hizi site za kina beforward na kuweka cha juu....
 

Jamaa wapo vizuri
 
Unatumia nguvu nyingi. Ueleweki unachotuzungumza. Sijawai kua na mjadala na wewe
Mkuu nilikuonya nilikuambia hii gia unayotumia kutangaza Be forward na SBT sio gia mzuri ukaniambia na mimi ni walewale matapeli angalia sasa nani tapeli watu wanazidi kuleta ushahidi ngoja tuone mwisho wake utaukimbia huu uzi kijana.
 
Mkuu nilikuonya nilikuambia hii gia unayotumia kutangaza Be forward na SBT sio gia mzuri ukaniambia na mimi ni walewale matapeli angalia sasa nani tapeli watu wanazidi kuleta ushahidi ngoja tuone mwisho wake utaukimbia huu uzi kijana.
Ushahidi uko wapi?
 
Nimeusaoma vizuri kwakifupi ni kwamba alitapeliwa baada ya kuagiza Gari Be forward nakulipia kila kitu hadi usafiri wa local gali limefika kijijini kwao limieibiwa vipuli baada ya kugundua akapiga simu Be forward dar na Japana bado akupewa ushirikiano kwaiyo jamaa anatoa taadhari watu wasiagize magari kupitia kampuni hiyo ambayo unaiporomoti unatuambia sio matapeli twende tukaagize huko .
Hawa jamaa ukiwachunguza vizuri uwezi kuagiza gari kwao Be forward wanatamaa sana ya pesa ni kweli sio wajapani hizi ni tabia za wahindi wanataka kufanya biashara zate za Dunia hii, wanauza magari wanauza viwanja wanauza nyumba wanauza spare wanauza madini kila biashara wanataka wafanye wao kha ni watu nanamnaga hawa?
 
Mkuu nilikuonya nilikuambia hii gia unayotumia kutangaza Be forward na SBT sio gia mzuri ukaniambia na mimi ni walewale matapeli angalia sasa nani tapeli watu wanazidi kuleta ushahidi ngoja tuone mwisho wake utaukimbia huu uzi kijana.

Sasa mimi inanihusu nini kukimbia au kutokimbia uzi. Huwezi nionya maana we si mzazi wangu. Siko kutangaza kampuni ya mtu. Kama unaona wewe ni tapeli ni sawa.

Jifunze kujitegemea. Sipo mitandaoni kubishana, naamua jambo gani jibie au nisijibu.
 
Kaka,
Jamaa hajanitwist niliona ameweka web yake nami nikapitia ni kama middle man. Uzi wangu haujasema wote ni matapeli ila nimetoa tahadhari maana watu wengi wanalizwa mno.
Mimi nishakutana nao sana na siwezi kuagizia gari kupitia middle man kabsa na sishauri mtu aagize gari kupitia hawa watu....

Though kuna wengine ni waaminifu ila ni nadra sana....
Ni kweli wapo Waadilifu ila changamoto ni jinsi ya kumtambua huyo muadilifu miongoni mwa wengine.

Ni kama kucheza kamari, upate au ukose.
 
Tangu 2015 na agiza Magari kwa kutumia SBT japan tanzania.
utafungua account yako , kama vile gmail.
chagua gari ziko za bei tofauti touti kulingana na uwezo wako.
hapo hapo kuna makadirio ya kodi ya gari yako uliochagua.

mpaka gari kufika bandari ni siku 40 mpka 50.

hizo kampuni hasa za pale milimacity ni janga, hata hizi gari zinazouzwa kwenye yard mara zote wanabadirisha vitu.

biashara zetu sisi watu weusi bado sana.

kuna hawa jamaa wa kampuni za kuuza viwanja.
''viwanja vyote vina hati" nunua kiwanja, lipa kwa awamu maliza fedha zao.Waambie wakukabidhi kiwanja na hiyo hati🤣🤣safari ya kudai hati ina anza, nenda rudi mwaka wa kwanza nenda rudi mwaka wa pili nenda rudi mwaka wa saba!

watu wakisikia hati wanashawishika kununu viwanja, ili wakipata hati waende kwenye taasisis za fedha kukopa.
Ila haya yanafanyika kwasababu na taasisi zetu za serikali ni corrupt
 
Ungefuatilia mjadala huko juu kabla ya comment hizo mbili ungeelewa kwa nini nmemjibu hivyo.

Tafadhali jitahidi kusoma ya juu kabla ya kudandia treni katikati.

Nichafue kampuni ili iwaje? Je umeona nimetaja kampuni yoyote kuhusu utapeli?
Achana nao hao mkuu, naona wanahisi unawafungua watu macho.Ignore them. Wenye shida ya kujua elimu hiyo tunaona chuya na mchele.
 
Watu wanatapeliwa nyie mnakalia uzawa uzawa. Kwani mimi uliyenitapeli sio mzawa?

Nyie ndio wale mnashirikiana nao mpo kwenye group za whatsapp mnajaza watu upepo....

Pathetic....
Mkuu, achana nao hao. Pia shukrani kwa elimu hiyo, nimejifunza kitu.
 
Habari wa JF,

Katika pita pita zangu mitandaoni hasa JF na instagram nimeona kuna kampuni/watu wanaofanya huduma za kuagiza magari nje kwa masharti ya kulipia nusu na kumalizia kiasi kilichobaki baada ya gari kufika. Mengi ya makampuni hayo (Sisemi wote) ni "MATAPELI WAKUBWA SANA" na huu ni mchezo ambao huwafanyia wateja wao.

1. Huwa wanapost gari kwenye mitandao either wameliona kwenye site za magari au wana picha zake.

2. Baada ya kupost wateja wataliulizia na wanakuambia lipo.

3. Then watakufikisha kwenye ofisi zao nyingi zipo posta na maeneo ya mwenge- sinza- mlimani city.

4. Mtaingia mkataba na wewe kufanyia malipo gari hilo nusu. Hapa mnaweza kuwa hata wateja wanne mnafanyia malipo gari moja.

Baada ya malipo ndio mchezo unaanza.

Kwanza hawatakuonyesha chasis number ya gari na pia watakutajia km chache mno lets say between 40,000-70,000 ila kamwe hawatakupa picha ya odometer.

Baada ya hapo jamaa huwa wanaingia mzigoni kuanza kutafuta gari inayofanana na ile uliyoagiza may be kwa rangi.

Wakiipata huko japan kwa bei rahisi watakuuagizia ila zile zilizopata ajali na kufanyiwa modification. Au wakiukosa wanakutafutia hapa bongo gari kama ile na kule japan/nje wanakuagizia chasis number tu na vile vibati vya chasis number kwenye mlango then vikifika bongo wanakubandikia kwenye gari then wanakuambia gari imefika. Kumbe badala ya kuagiziwa gari umeagiziwa chasis number then gari inabandikwa na kufanyiwa usajili upya.

Kampuni hizi mara nyingi zinakua na blaah blaah ukiwauliza maswali na magari yao mara nyingi yanachelewa sana. Ili ku buy time ya kufanya manuva yao.

Unaponunuua gari mtandaoni hakikisha kabla ya kulipia unafanya yafuatayo.

1. Pata picha ya gari lote mpaka odometer.
2. Pata chasis number ya gari (Hii itakusaida kujua hilo gari lipo au laah).
3. Omba auction report/sheet. Check picha hapo chini... Wauzaji wajanja wajanja hawakupi hii hata iwaje....

USIFANYE MALIPO KAMA HUJAPEWA HIVYO VITU LA SIVYO UTAUZIWA PICHA YA GARI BADALA YA GARI.....

Kesi za namna hii zipo sana central police na washawachoka hawa watu ila bado watu wanaendelea kupigwa sana.....

Chukua tahadhari.

Siku njema.

Mkuu, Nikiwa na Chasis number...naweza kujuaje kama gari lipo ama laah! naSearch wapi?
 
Back
Top Bottom