Jihadhari na matapeli hawa wa Kupatana.com

Umetufumbua macho Ahsante sana mkuu
 
Kupatana ukiona namba yyt ya nje, kaa mbali huyo n tapeli wa moja kwa moja, yote hayo uliyosema mkuu mm nilishayapataga, sema yy alikua Uganda, akalazmisha nitoe pesa nusu halaf nisubirie mzigo ufke nimalizie, yy nilimuuliza swali rhc tuu km anitajie tawi lao hapa bongo, aliishia kung'aa sharub, hata haikua ngumu kujua n tapelii.

Kitu kingne tusizid kupenda kitonga/ mfuko wa shati, jitu linaona s8 plus inauzwa lak 8, nalo linaaamin, lazma ulizwe
 
Yaani hii sim labda mtu awe amenunua alafu shida imemshika sehemu nyeti ndo atauza bei kama hio. Sasa hapo kwa laki nane wazaramo wa kizungu wanasema "too good to be true"
 
Hawa watu wamefika Facebook sasa wanawaambia watu wanaweka channel za dstv kwenye vingamuzi local kama startimes na Azam. Ukituma ela umeisha
 
Hawa watu wamefika Facebook sasa wanawaambia watu wanaweka channel za dstv kwenye vingamuzi local kama startimes na Azam. Ukituma ela umeisha
Yaani hata king'amuzi kipo nyumbani kwako unalipia juu kwa juu? Au wanakwambia wanakurekebishia wakiwa hukohuko...

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Yaani hata king'amuzi kipo nyumbani kwako unalipia juu kwa juu? Au wanakwambia wanakurekebishia wakiwa hukohuko...

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Wanakuambia uwatumie hela uone chanel za DSTv kwenye startimes. Sasa kutokana na ugumu wa maisha naona watu wanaona inaweza ikawa kweli au wanajitia uvivu wa kufukiria wanaishia kueka mikono kichwan.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliuziwa htc one m8 kwa 400k .niliumia sanaaa. Nilikuja kushtuka kumbe simu ina tatzo la soft ware. Na fake pia.

Nilichofanya niliamua kupambana na simu yangu na mimi nikawa mwanaume wa mjini nilifanya yangu namimi nkamuingiza mtu mjini kwa exchange deal....matako yako rajabu ulieniuzia simu fake ila nimejifunza na sitokaa nitapeliwe tena kupatana...

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Kupatana kuna wauzaji legit wapigaji na ambao wako kotekote. Unakuta mtu mlikua mpige deal legit ila akishakuona akakusoma anabadili upepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…