Jihadhari na overtake za aina hii

Jihadhari na overtake za aina hii

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
70,785
Reaction score
186,690

Hawa jamaa kama wamepona wana Mungu sana. Mara zote tunakumbushana kuwa Highway sio sehemu ya mchezo. Hii overtake ambayo inafanywa kwa mtindo wa "Tailing" madhara yake ni kuwa hutaona mbele na wa mbele yako ni rahisi sana kukuuza. Keep your heads up, make sure unaona mnyooko ndio unatoa gari.
 
Kwanza alikuwa anaongea na simu, akagonga gari la mbele ambalo liliona hatari kwa mbele likafunga breki za ghfla. Kisha akatanua! Alichokipata tunaomba Mwenyezi amnusuru kama yu hai.


Hapa suala la udereva wa kujihami haukuwepo kabisa.
 
Kwanza alikuwa anaongea na simu, akagonga gari la mbele ambalo liliona hatari kwa mbele likafunga breki za ghfla. Kisha akatanua! Alichokipata tunaomba Mwenyezi amnusuru kama yu hai.


Hapa suala la udereva wa kujihami haukuwepo kabisa.
Huyo anayerecord si yupo ndani ya hiohio gari

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mfano kungekuwa na gari linakuja mbele then wa mbele yake akawahi haraka kurudi kushoto ni lzm akutane nayo uso KWA uso labda wa kushoto kwako awe muungwana awahi kucheza na breki Ili upate haraka nafasi ya kuingia kushoto mbele yake.
 

Hawa jamaa kama wamepona wana Mungu sana. Mara zote tunakumbushana kuwa Highway sio sehemu ya mchezo. Hii overtake ambayo inafanywa kwa mtindo wa "Tailing" madhara yake ni kuwa hutaona mbele na wa mbele yako ni rahisi sana kukuuza. Keep your heads up, make sure unaona mnyooko ndio unatoa gari.
Huyo alokua ananyosha kidole na baadhi wa nyuma yake hawawezi pona maana wamepigwa double kick, labda dereva
 

Hawa jamaa kama wamepona wana Mungu sana. Mara zote tunakumbushana kuwa Highway sio sehemu ya mchezo. Hii overtake ambayo inafanywa kwa mtindo wa "Tailing" madhara yake ni kuwa hutaona mbele na wa mbele yako ni rahisi sana kukuuza. Keep your heads up, make sure unaona mnyooko ndio unatoa gari.

Kabla huja overtake jiulize, kwanini naovateki? Je mbele naona vizuri umbali gani? Je mistari inaruhusu kuovateki?
 
Pana cruiser moja ilifinyangwa na roli mbili alikuwa ana overtake roli na tela lake yaani pulling roli linalovuta tela akikaribia kumaliza overtake mbele semi inakuja wangu wangu akaongeza mafuta amalize kuovertake ile kamaliza tu kuingia kushoto akapigwa kwa nyuma akasukumizwa mbele ya roli linalokuja nalo likapiga kwa mbele hakutoka mtu pale kwenye cruiser
 
Hawa jamaa kama wamepona wana Mungu sana. Mara zote tunakumbushana kuwa Highway sio sehemu ya mchezo.

mbele yako ni rahisi sana kukuuza.
Iwapo dereva angekuwa makini, na kuangalia japo taa ya gari ya mbele yake, japo ali_overatake kimakosa, still angeweza kupunguza mwendo, na kuwa salama /kurudi upande wake sahihi.
1673010487532.png

Eti anachungulia kama usalama upo???
 
IMG_20230106_160744.jpg


Kwa Tanzania ukiwa road we jua tuu , nusu ni maiti nusu u mzima , haijalishi wewe ndo unaendesha na ni mzoefu au unaendeshwa na mtu .... Ikibidi kila unapokuwa barabarani Acha wosia

Ni janga Kama ilivyo ukimwi na Covid kule China
 
Back
Top Bottom