kweli kabisa ni waongo!!! na wakati mwingine net inasumbua sana
tatizo husomi message mpk mwisho mbona msg inajieleza kabisa kuwa umepewa 1 gb ila kwa vile ulikariri ukiona msg imeingia hongera umeunganishwa na kifurushi.... basi unatumia tu. me niligundua siku ya kwanza tu walipoanzisha tena ilikuwa Jan mwishoni hivi.
Kipindi ni unlimited nilikuwa natumia smart phone yangu alafu naunga kwenye laptop kwa Wifi uspime kwenye phone na download musics na videos kwenye laptop napakua movies huku nacheki dah!!Ila si Haba kulikoni wangeifuta kabisa. Mimi Huwa nnachagua Movie Moja online nnaitaza. Nikiwa na kazi kubwa basi naunganisha laini zangu Mbili nnakuwa na 2GB kwa Tsh1000. Wakati ningenunua kwa wazee wa smile ingekuwa Tsh50,000 kwa 2GB.
Vodacom tufikirieni Mtuongezee walau 3GB kwa 1000 Wajanja Night.
Habari wakuu kwa wale mnaotumia huduma za Vodacom
Mtandao huu wa biashara sasa wamekuwa wahuni, unaponunua kifurushi cha usiku (wajanja night) wanakwambia ni unlimited ingawa si kweli.
Uhalisia ni kuwa wanakupa 1 GB then baada ya hapo utakatwa mi nimeliwa 2000 usiku huu!! nimewapigia wakanipa ukweli huo hivyo jamani kifurushi cha wajanja night offer ni only 1GB mwenye masikio na asikie.
TUNAHITAJI HUU UTAPELI UKOMESHWE UKIONA BANDIKO HILI MWARIFU NA MWENZIO