[emoji3][emoji3][emoji3] hahaha hadi weweAsante kwa kunijulisha mapema maana mimi kwa kutapeliwa
Suala siyo kujuana, ni kwamba umebugizwa!tunajuana ehh? ๐ haya ukalale
Ushamba wako usikufanye uone kila aliye makini ni tapeli.basi wewe ni tapeli๐ค
kwasasa ni kuishi kwa machale dada,...๐๐คฃ๐คฃinatokea tu ๐
Acha tu, wakishamaliza tu kunitapeli ndo najua sasa. Halafu nakuwa nimechelewa[emoji3][emoji3][emoji3] hahaha hadi wewe
Habari zenu jamani! Mimi kuna rafiki yangu kanipigia leo akilia sana kwa sababu katapeliwa na hii account inaitwa @unlimited_bundlez instagram. Namba yake ya simu ni 0698128458. Mkiiona hio account na namba nawaombeni msijaribu kufanya mawasiliano na hio namba. Ili kujihadhari na watu kama hawa
1. Hakikisha ana kutumia huduma kwanza. Hii huwa wanabisha sana
2. Sikiliza kauli za mtoa huduma. Wale spiritualist wanakuambia watu wana low vibration basi wanamakasiriko pro max.
3. Bidhaa ikionekana cheap, ujue kuna shida automatically
Mengine, wanajamii forum watajiongeza zaidi kwenye uzi.
haha pole sana jamani itabidi ulete namba tuwatapeli na waoAcha tu, wakishamaliza tu kunitapeli ndo najua sasa. Halafu nakuwa nimechelewa
Hapa ulimaanisha nini?watu wana low vibration basi wanamakasiriko pro max
Hata mimi kanipigaHabari zenu jamani! Mimi kuna rafiki yangu kanipigia leo akilia sana kwa sababu katapeliwa na hii account inaitwa @unlimited_bundlez instagram. Namba yake ya simu ni 0698128458. Mkiiona hio account na namba nawaombeni msijaribu kufanya mawasiliano na hio namba. Ili kujihadhari na watu kama hawa
1. Hakikisha ana kutumia huduma kwanza. Hii huwa wanabisha sana
2. Sikiliza kauli za mtoa huduma. Wale spiritualist wanakuambia watu wana low vibration basi wanamakasiriko pro max.
3. Bidhaa ikionekana cheap, ujue kuna shida automatically
Mengine, wanajamii forum watajiongeza zaidi kwenye uzi.