Jihan Dimachk aibuka Mshindi wa Miss Universe Tanzania 2016

Jihan Dimachk aibuka Mshindi wa Miss Universe Tanzania 2016

mi sio m'baguzi ila sidati kabisa na rangi nyeupe for any means, wangempa hata nafasi ya pili ingemfaa, tanzania ina watu milioni 45, kati yao wenye asili ya ngozi nyeupe nadhani ni laki 1 (for large extent approximation, na usiniulize sensa nilifanya lini we meza tu hivyo) sasa hii kuwapa vipaumbele ngozi nyeupe nahisi watanzania wengi wana ugonjwa wa "inferiority" ambao inabidi tupate madaktari kutoka "india" waje watutibu.
 
Mrembo Jihan Dimachk aibuka mshindi wa shindano la Miss Universe Tanzania 2016 lililofanyika Usiku wa Novemba 25, 2016.

Jihan Dimachk, Mshindi wa Miss Universe Tanzania 2016 /2017, amezaliwa na kukulia Mwanza, amesomea nchini Mozambique na sasa anaishi Dar Es Salaam.

Jihan ni mrembo aliyeshinda taji la Miss Ilala mwaka 2014 na kuingia tatu bora Miss Tanzania mwaka huohuo, Wazazi wake ni mchanganyiko wa Tanzania/Lebanon.

Nafasi ya pili ya shindano la Miss Universe 2016 ilichukuliwa na Lilian Loth kutoka Kampala University na nafasi ya tatu ilichukuliwa na Lilian Felix ambaye alikuwa aniwakilisha UDSM.
View attachment 439600 View attachment 439601 View attachment 439602 View attachment 439603
Yupo vizuri
 
mi sio m'baguzi ila sidati kabisa na rangi nyeupe for any means, wangempa hata nafasi ya pili ingemfaa, tanzania ina watu milioni 45, kati yao wenye asili ya ngozi nyeupe nadhani ni laki 1 (for large extent approximation, na usiniulize sensa nilifanya lini we meza tu hivyo) sasa hii kuwapa vipaumbele ngozi nyeupe nahisi watanzania wengi wana ugonjwa wa "inferiority" ambao inabidi tupate madaktari kutoka "india" waje watutibu.
I smell racism.. Unajua sisi watanzania ni wabaguzi kazi kuwasema wazungu kwa ubaguzi
Miss Tz walishawahi mpa muhindi nakumbuka
Nawe Princess ariana upo kama uyo ? Au wewe black beauty wa nguvu?
 
Twende mbele turudi nyuma udongo wa Makka ni hatari sana,blessed complexion..
 
Back
Top Bottom