[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliKapigwa na kitu kizito itakua
Acha kutisha watu na fata yakoUnajua hapa duniani watu wanajionaga wajanja sana, ila hamna lolote.
Piga picha upo kwa nani, hii dunia ni yako? Unakula tu, unafakamia tu na kuponda vistarehe vyako, and then baade unaanza kulia.
Hii dunia ni ya Mungu, tena Mungu Baba wa Mbinguni.
Wewe cheua tu, hivyo vistarehe, kuna siku utakula kichapo cha kifo and as we all know hakunaga majanja katika kifo, utalabuliwa kifo cha aibu na Mungu siku moja halafu katikati ya mauti na kifo yaani hapo katikati kabla roho yako haijaondoka utalia kiama, sisi tulio soma na shule ikakaa kichwani tunamjua Mungu vizuri.
Angalia usije ukawa funzo.
Asante.
Mimi ni hatari mno.
Nina bastola kali mno aina ya Berreta na risasi 15.
Ongea kama wewe ni mwanaume,
Shida nini?Unajua hapa duniani watu wanajionaga wajanja sana, ila hamna lolote.
Piga picha upo kwa nani, hii dunia ni yako? Unakula tu, unafakamia tu na kuponda vistarehe vyako, and then baade unaanza kulia.
Hii dunia ni ya Mungu, tena Mungu Baba wa Mbinguni.
Wewe cheua tu, hivyo vistarehe, kuna siku utakula kichapo cha kifo and as we all know hakunaga majanja katika kifo, utalabuliwa kifo cha aibu na Mungu siku moja halafu katikati ya mauti na kifo yaani hapo katikati kabla roho yako haijaondoka utalia kiama, sisi tulio soma na shule ikakaa kichwani tunamjua Mungu vizuri.
Angalia usije ukawa funzo.
Asante.
Acha kutisha watu....unatisha watu we mbinguni ushawahi enda, kaburini ushawahi kwenda...acha kutisha watu na hekaya za abunuasi ulizohadithiwa utotoni... Acha watu waishi lyf lao as long as hawavunji sheria.Mimi ni hatari mno.
Nina bastola kali mno aina ya Berreta na risasi 15.
Ongea kama wewe ni mwanaume,
Unasemaje!!!!!!?Acha kutisha watu....unatisha watu we mbinguni ushawahi enda, kaburini ushawahi kwenda...acha kutisha watu na hekaya za abunuasi ulizohadithiwa utotoni... Acha watu waishi lyf lao as long as hawavunji sheria.
😂HayaUnasemaje!!!!!!?
Hebu rudia!!!
Sheeeeenzi.
Nitakuvaa sasa hivi nikugawanye fuvu.
Sisi tulio soma na shule ikakaa kichwani tunamjua Mungu vizuri.