Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
kunywa maji utulize hasira basi mkuu.Almost theluthi ya huu ulimwengu upo kwenye shimo la mavi ndugu,watu hawaogopi kitu yaani wao ndio Mungu,yaani watu ni wapumbavu wa kutupwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kunywa maji utulize hasira basi mkuu.Almost theluthi ya huu ulimwengu upo kwenye shimo la mavi ndugu,watu hawaogopi kitu yaani wao ndio Mungu,yaani watu ni wapumbavu wa kutupwa.
Poleni Sana ☹️Hapana,, ila ameondoka mapema sana😭😭
Nani?Hapana,, ila ameondoka mapema sana😭😭
Maisha ni haya haya hakuna mengine.Wewe!!
Unasemaje?
Wewe cheza tu na haya maisha.
Acha makasiriko mkuu..Unasemaje wewe!!!
Yaani unaniona mimi ni mwenzako.
Mimi ni genius na sijawahi kushindwaga na matahira toka nizaliwe.
kifo kwani ni adhabu?Ila nyie kifo kiacheni tu😥😥😭
Pole sana lil sisyNimewaza tu kwa sauti mkuu...ni best friend wangu kafa gafla mchana huu😥😥
Hapanakifo kwani ni adhabu?
Mtumbwi wa vibwengo hujauona? 🙄😳Kuna Nini tena mkuu?
Kapigwa na kitu kizito itakuaKwan kuna nn??
Nimewaza tu kwa sauti mkuu...ni best friend wangu kafa gafla mchana huu[emoji26][emoji26]
Athumani kwani vipi mbon una jazba hivyo umenyimwa?Almost theluthi ya huu ulimwengu upo kwenye shimo la mavi ndugu,watu hawaogopi kitu yaani wao ndio Mungu,yaani watu ni wapumbavu wa kutupwa.
Haya basi nikupitie tuelekee msibani 😥😢Nimewaza tu kwa sauti mkuu...ni best friend wangu kafa gafla mchana huu😥😥
🤣🤣🤣Mtumbwi wa vibwengo hujauona? 🙄
One man down jealous ni muda tu time will tellUnajua hapa duniani watu wanajionaga wajanja sana,ila hamana lolote.
Piga picha upo kwa nani,hii dunia ni yako?
Unakula tu,unafakamia tu na kuponda vistarehe vyako,and then baade unaanza kulia.
Hii dunia ni ya Mungu,tena Mungu Baba wa Mbinguni.
Wewe cheua tu,hivyo vistarehe,kuna siku utakula kichapo cha kifo and as we all know hakunaga majanja katika kifo,utalabuliwa kifo cha aibu na Mungu siku moja halafu katikati ya mauti na kifo yaani hapo katikati kabla roho yako haijaondoka utalia kiama,sisi tulio soma na shule ikakaa kichwani tunamjua Mungu vizuri.
Angalia usije ukawa funzo.
Asante.
Weuweeeee usintishe. Nasema usintisheUnajua hapa duniani watu wanajionaga wajanja sana,ila hamana lolote.
Piga picha upo kwa nani,hii dunia ni yako?
Unakula tu,unafakamia tu na kuponda vistarehe vyako,and then baade unaanza kulia.
Hii dunia ni ya Mungu,tena Mungu Baba wa Mbinguni.
Wewe cheua tu,hivyo vistarehe,kuna siku utakula kichapo cha kifo and as we all know hakunaga majanja katika kifo,utalabuliwa kifo cha aibu na Mungu siku moja halafu katikati ya mauti na kifo yaani hapo katikati kabla roho yako haijaondoka utalia kiama,sisi tulio soma na shule ikakaa kichwani tunamjua Mungu vizuri.
Angalia usije ukawa funzo.
Asante.