Jiji la Dar es Salaam lakubwa na uhaba was Maji.

Jiji la Dar es Salaam lakubwa na uhaba was Maji.

anti-Glazer

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2023
Posts
291
Reaction score
482
Ni mawiki Sasa mji mzima sehem za milima milima maji hakuna.

Hakuna kwenda toilets. Yaani ni mwendo wa kunawa.

Tunakoelekea watu watafunga.

Alichosema mh waziri wa tamisemi ni sawa kabisa viongoz wanajifungia maofisini
 
Huku uhaba wa mafuta , uhaba wa fedha za kigeni , uhaba wa huduma ya maji , umeme wa mgao .

Failed state hii
 
Haniiiiiii haniiiiiii haniiiiii nakipendaaaaa hani we unanitesaaaaa
Waziri wa ..... Hi ngoma anaipenda sana
 
Back
Top Bottom