chinatown
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 1,232
- 1,105
JAMANI HVI KWELI VIONGOZI WETU WA JIJI HILI MMESHINDWA KUSIMAMIA UCHAFU?
Kuna mitaa ya katikati ya kkoo ,aggrey,sikukuu, yanatiririsha mavi taka kwa miezi sasa hakuna kiongozi anaye jari
mbaya zaidi wana Dar es Salaam nao walivyowajinga mama ntilie wanauzia chakula hapo hapo,wachoma miskaki ile mitamu ya mbwa na ndizi wanachomea hapo hapo,yaani ni tafrani.
hivi ustaraabu tutaupata wapi? wamalawi,wakongo,wazimbabwe ,wabostwana wanatushangaa sana
Kuna mitaa ya katikati ya kkoo ,aggrey,sikukuu, yanatiririsha mavi taka kwa miezi sasa hakuna kiongozi anaye jari
mbaya zaidi wana Dar es Salaam nao walivyowajinga mama ntilie wanauzia chakula hapo hapo,wachoma miskaki ile mitamu ya mbwa na ndizi wanachomea hapo hapo,yaani ni tafrani.
hivi ustaraabu tutaupata wapi? wamalawi,wakongo,wazimbabwe ,wabostwana wanatushangaa sana