Nani kanya?JAMANI MAVI YANAMWAGIKA MWEZI MZIMA SO WAFANYABIASHARA NDIYO WAANZE KU DEAL NA HAYO MAVI?
Usafi unaanzia kwetuDUUUUH KAZI IPO
ndyo kolomoje ya south uku kusini mtwara mpitimbiKolomoje ya 'SAUZI'?
Mpitimbi karibu na masimahuhu..!!!ndyo kolomoje ya south uku kusini mtwara mpitimbi
JAMANI MAVI YANAMWAGIKA MWEZI MZIMA SO WAFANYABIASHARA NDIYO WAANZE KU DEAL NA HAYO MAVI?
Dsm pachafu kweli zaidi ya miaka 5 ,kuna maji taka yanajikusanya pale Makutano ya Uhuru na Msimbazi upande wa barabara ya uhuru ukitokea China plaza,mtaro wa katikati unakuwa mpaka na kinyesi kabisa......lakini hakuna mwenye habari napo,na kuna Restaurant inatamana na mtaro huo na mabibi/bwana afya wanapita kuchukua vi nauli kila wakati.
JAMANI MAVI YANAMWAGIKA MWEZI MZIMA SO WAFANYABIASHARA NDIYO WAANZE KU DEAL NA HAYO MAVI?