Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And why call the new city Dar, instead of its proper name of Ilala City?The topic, I think is about Dar as a city. The new city must have less than 3 mil. People
Aisee! Hivi wewe unakaa Kenya auTatizo lako unahesabu hata watu wa mwambeoande
Kwani hapo nimepost Chato auHeading inasema Jiji la dar
Niseme: wewe ni mpiga picha mzuri.Anayebisha alete ushahidi.View attachment 1714112
Samahani sana. Tafadhali niombe radhi kunipeleka shambani Buza. Mimi ni mjini haswa, pale Vingunguti karibu na machinjioni. Pale pekee tupo takribani miliioni moja na ushee!Tunazungumzia Dar City (jiji), wewe wa buza hujahesabiwa[emoji1]
Nadhani anaongelea population ya ilala ambayo Kwa mujibu wa kikokotoo kilichotolewa na mkuu wa nchi..ndio jiji la Dar-es-salaam...Dsm ina watu milioni 6
Aliyeandika huu ushuzi wa mahindi ya mabichi na njugu za kuchemsha bila shaka ni WAKUJA[emoji41].Anayebisha alete ushahidi.View attachment 1714112
Milioni 6.5Anayebisha alete ushahidi.View attachment 1714112
Mleta uzi ndicho alichokitaka hiki kafanya makusudi ili watu wajichanganye! Maana anajua tushazoea mtu ukisema Dar Es Salaam unamaanisha Ilala, Kinondoni, Kigamboni, Temeke, na Ubungo kumbe kamaanisha Ilala tu!
Sasa roho yake kwatu na anajisikia raha anavyobaki anawajibu watu eti "soma heading vizuri"! Ndiyo maana uzi wenyewe ukiuangalia hauoni hata mantiki ya kuanzishwa kwake kumbe mleta uzi hilo ndiyo lilikuwa lengo lake!
unaongea kwa code sana.. si ungesema IlalaTunazungumzia Jiji
Msamehe bure tu bado Anajifunza matumizi ya JF!! si unaona avatar km inasinzia hivi!!!Hio picha ndio hoja/takwimu ya kusema dsm ina watu chini ya million 3 ?
Umebarehe hivi karibuni?Heee! wakaa vingunguti Babu??? pale si ni sehemu maalum ya machinjioni na Mnada Maarufu wa mbusi na kondoo wa wizi!! na wahusika wakuu ni Wagogo, Wakurya, Wachagga wauza nyama choma!!! yaani Dampo la vingunguti mmefikia million moja?
Sasa bila shaka weye ni Mkurya mpenda sifa unajiona uko Dar hasa, karibu na club raha leo show!! ukasimulie kureee Nyamwagha!! Mura mwita chomete ruti nyumpani, tata bhatoto bhana ria!! kuree Ghu-kirighiri! ukarime mafuno ya uresi tata!! mchini hapakubhai!!!
Umeansa kuwa karongo rongo!! kama bhitoto bhya muchini!! huoni hata aipu!! kama unanisikia popote muraa!!! nchoo!! ruti nyuumpaaani uchenge nyumba ya pati! uishi na mama bhoke!! mbusi sasa wanatocha kura ghichureee! Ghesara amekua! mumuraaa!
acha hizo dogo!! umewahi laaniwa?Umebarehe hivi karibuni?