FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kuna mvua, makazi yanakua yamejaa majiSiku hizi kama unatoka safari kuja Dar, basi jitahidi usifike huku Jumamosi usiku, wallahi utalala stand.
HahahahahSi mlisema wanaume wa Dar sijui nini na nini huko?
Wengine wanatoka kwenye mavuno kuja kufanyia starehe/Anasa huko mjini DaslamWekend wageni wengi kutoka mikoani wanaokuja kikazi kwa wiki itayokuja na pia kibiashara
Hivyo tu
Yawezekana hili piaWengine wanatoka kwenye mavuno kuja kufanyia starehe/Anasa huko mjini Daslam
TrueYawezekana hili pia
Acha ujinga wewe sisi wafanyabiashara tunafurahi nyumba zetu kujaa wewe pimbi na vihela mbuzi vyako unalalamika! Nenda hotel zote kuwa huwa kuna nafasi kibaoSiku hizi kama unatoka safari kuja Dar, basi jitahidi usifike huku Jumamosi usiku, wallahi utalala stand.