Acha ujinga wewe sisi wafanyabiashara tunafurahi nyumba zetu kujaa wewe pimbi na vihela mbuzi vyako unalalamika! Nenda hotel zote kuwa huwa kuna nafasi kibao
Angalizo na nini Kenge wewe ulitaka hotel zetu ziwe wazi pumbafu mkuu wewe! Watu tumewekeza tena kwa mikopo wewe mjinga unataka ukija Dar ukute hotel zipo wazi ! Hiyo mikopo atatulipia mamayo! Nyau sana wewe!