Tetesi: Jiji la Dar kutanuliwa

Tetesi: Jiji la Dar kutanuliwa

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
1. Katika kuhimiza uwekezaji jiji la Dar es Salaam kutanuliwa kujumuisha wilaya za Mkuranga, Kibaha, Bagamoyo na Kisarawe.

2. Pia, uwanja wa ndege wa kimataifa na bandari kujengwa Bagamoyo.

**Forthcoming Kisarawe Digital City.
 
1. Katika kuhimiza uwekezaji jiji la Dar es Salaam kutanuliwa kujumuisha wilaya za Mkuranga, Kibaha, Bagamoyo na Kisarawe.

2. Pia, uwanja wa ndege wa kimataifana bandari kujengwa Bagamoyo.
Tuapanua jiji, lkn tumesahau kupunguza umaskini. Jiji gani hili ambalo watu wanaishi kwenye makazi duni na internet inakatwa na mzungu ?
 
Jiji la Dar ni dogo mno, watu wamebanana hapo katikati hata hewa safi hakuna wala mpango mji.
Ilitakiwa Pwani nzima iwe ndani ya Dar.

Ona majiji ya wenzetu kama Nairobi, Lagos etc yalivyo makubwa, ndo mana hatuwezi kuyafikia kimaendeleo.

walimbukeni wanakwambia Dar kubwa, "panda helcopter uone kama hauzunguki Dar nzima ndani ya dakika 20" 😀
 
Jiji la Dar ni dogo mno, watu wamebanana hapo katikati hata hewa safi hakuna wala mpango mji.
Ilitakiwa Pwani nzima iwe ndani ya Dar.

Ona majiji ya wenzetu kama Nairobi, Lagos etc yalivyo makubwa, ndo mana hatuwezi kuyafikia kimaendeleo
Waliolipanga hilo jiji in 70s hawajua kutakuwa na ongezeko la watu, waanza wakiwa wamechelewa
 
waislamu wanaharibu hii nchi, kwanza lilipaswa kupunguzwa, maji hakuna, no sewage system wakazi wanafungulia vyoo mvua zikinyesha, zima moto tangia mkoloni anayeishi tegeta nyumba ikishika moto asubiri fire isafiri 20 km kuja kuzima, public transport ni nightmare huwezi hata kuvaa vizuri ukatumia public transport utafika kama umetokea vitani sasa haya yote kwa mji uliopo waislamu wameshindwa kusolve halafu wanafikiria kuongeza ukubwa wa slums? hii nchi inaongozwa na very low iq people …
 
Back
Top Bottom