Jiji la Dodoma linajengeka lifanane na Gaborone, Hima kwa Serikali idhibiti ujenzi holela

Kaarusha kanaingia sijui mara ngapi hapo πŸ˜‚πŸ˜‚ halafu kanavyosifiwa na wenyewe sasa πŸ˜‚πŸ˜‚

1 Dar
2 Mwz
3 Dom
 
Kaarusha kanaingia sijui mara ngapi hapo πŸ˜‚πŸ˜‚ halafu kanavyosifiwa na wenyewe sasa πŸ˜‚πŸ˜‚

1 Dar
2 Mwz
3 Dom
Tunajadili miundombinu na kujengeka Kwa Jiji.

Mwanza ondoa kwenye listi
 
Tatizo la Dodoma wanagawa viwanja maporini bila kuchonga barabara wala kupeleka umeme na maji. Mimi najuta kununua kiwanja lugala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…