Jiji la moto hilii

Jiji la moto hilii

Ila ule mtaa wafanye maombi maana naona watoto wa matajiri wote wanapagawa na pombe na starehe ukianzia kwa Marehemu mzee shanga patricia alishapagawa na bwax, James ndio hivyo alileft group mapema na safari zake za Italy naona ndiko alikoharibikiwa haya ukija azura kwa mzee rupia au bomani sijui kuna vijana pia wamepagawa na pombe ukija kwa kina george Gordon ndio kapagawa zaidi ya wote na unga juu anavuta, ukija kwa briigedia cartless pale kuanzia jimmy na kaka yake mkubwa wote wamepagawa na pombe . Pamesalimika kwa mkwe wa raisi mwinyi tu sababu hakuna kijana wa kiume.
Hatareeee tupuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chris Lupembe kaacha pombe?? Halafu kulikua na yule kaka yake Alex lupembe alikuaga chapombe toka anasoma Makumira [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Kumbe huyo marehemu aliharibikia Italy, Allah amsamehe madhambi yake.RIP
Hao malezi ya baba yao yaliwaharibu sana,walilelewa kama mayai
Walilelewa kishuwa sana,alipokufaga mzee wao maana mzee wao alikuwa Don fulani enzi za mchonga,mzee Ana push benz wakati huo,mzee yuko sekta fulani tena
Mama ashukuru uwekezaji alioufanya kabla hujafika daraja la mlalakuwa
Ule ulikujamuokoa
Sema watoto wote wale siyoo

Ova
 
Hao malezi ya baba yao yaliwaharibu sana,walilelewa kama mayai
Walilelewa kishuwa sana,alipokufaga mzee wao maana mzee wao alikuwa Don fulani enzi za mchonga,mzee Ana push benz wakati huo,mzee yuko sekta fulani tena
Mama ashukuru uwekezaji alioufanya kabla hujafika daraja la mlalakuwa
Ule ulikujamuokoa
Sema watoto wote wale siyoo

Ova
Dahhh

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tusipoteze muda na salamu
Kwanza kabisa naomba sana habari za kusoma halafu unaanza kulinganisha na marehemu kwenye uandishi sipendi, kama uko hapa celeb kulinganisha mtu na marehemu unakwama sana.

Haya turudi kwenye hoja ya msingi.....

Mjini kuna msiba wa wa kaka/baba mmoja wa mjini kwa jina james....wenye mji wanadai eti ni mmliki wa escape one (sina uhakika wa hili). Sasa basi kwenye kutoka salamu za pole watanzania wa mjini wakaanza kutoa pole kwa mama mmoja nae wa mjini anajulikana kwa jina la mishy73 ambaye pia ni mke wa mzungu mmoja mzee sana.

Maswali ya wambea ni kwamba inakuwaje mishy aolewe na wanaume wawili? maana hata kwenye picha za IG amekuwa akipost picha akiwa na wanaume wote wawili kwa nyakati tofauti tofauti huku akijinadi kuwa ni kila mmoja ni mumewe.


Picha za mishy na wanaume zake (akiwemo marehemu) zipo chiniView attachment 2504951View attachment 2504952View attachment 2504953
Mama mwenyewe unamuonaje? Kaka ki naniliu sana
 
Hao malezi ya baba yao yaliwaharibu sana,walilelewa kama mayai
Walilelewa kishuwa sana,alipokufaga mzee wao maana mzee wao alikuwa Don fulani enzi za mchonga,mzee Ana push benz wakati huo,mzee yuko sekta fulani tena
Mama ashukuru uwekezaji alioufanya kabla hujafika daraja la mlalakuwa
Ule ulikujamuokoa
Sema watoto wote wale siyoo

Ova
Baba yao mzee Lupembe alikua mjanja mjanja enzi hizo za Nyerere, pamoja na kua boss fulani hivi ila pesa ingine mingi aliipata kwa kujiingiza kwenye ajali ya gari akakatwa mkono basi Insurance wakamlipa ma hela kibao.Ni kweli walilelewa ki mayai sana. Chris na Alex walikua wakisoma Makumira basi kila ijumaa wanakusanya nguo wanapanda ndege zinaenda kufuliwa dar na wanarudi na ndege monday asubuhi. Kwenye miaka ya 90s walichacha sana, na hapo umchicha mwiba wake ulipoonekana.
 
Baba yao mzee Lupembe alikua mjanja mjanja enzi hizo za Nyerere, pamoja na kua boss fulani hivi ila pesa ingine mingi aliipata kwa kujiingiza kwenye ajali ya gari akakatwa mkono basi Insurance wakamlipa ma hela kibao.Ni kweli walilelewa ki mayai sana. Chris na Alex walikua wakisoma Makumira basi kila ijumaa wanakusanya nguo wanapanda ndege zinaenda kufuliwa dar na wanarudi na ndege monday asubuhi. Kwenye miaka ya 90s walichacha sana, na hapo umchicha mwiba wake ulipoonekana.
Ahaaa kweli walikula maisha.basi ni haki yao kusuffer
 
Back
Top Bottom