Acha matusi. Toa hoja ala !Wewe jamaa ni mpumbavu sana....hivi unapata faida gani kutete ujinga.....mm ni mkazi wa mwanza wa muda mrefu...na uzuri majiji ya dsm na dom nimetembea....nasema hivi mwanza bado tunasafari ndefu sana....watu wawajibike waache kutafuna hela
Habari kaka.Nkmeshangaa juzi nilipita temeke kule yombo dovya Kuna lami hadi uchochoroni inaibukia buza hadi kitunda na kilungule.
Lami za mtaq zinahitajika maji yote
Tatizo la Tanzania ni uchaguzi na wanasiasaIla ukweli Mwanza inatia aibu sana sasa hivi. Wakati wa miaka ya tisini chini ya yule mkurugenzi mjaluo, jiji lilipendeza kweli kweli. Leo hii Mwanza ni pachafu kweli kweli wala hakuna mpangilio tena akama alivyokuwa amepanga yule mjaluo. Kwa mfano ukienda maeneo ya Mkolani na Mkuyuni ambayo yalikuwa yamepangiliwa nizuri sana miaka hiyo, leo hii yote ni squatters tupu. Tuliojenga huko wakati huo leo hii tunajuta.
πππMwanza ni kijiji kilicho changamka!
Wajinga watakuja na matusi baada ya kusema hayo.
Temeke hakuna sehemu tulivu[emoji28].hasa huko ndani ndani.Habari kaka.
Kuna dada nina shida nae, kuonesha nipo serious nimemwambia popote alipo niko tayari kumfata tuonane.
Mie nipo mitaa ya Ubungo.
Dada ameniambia anaishi Temeke Yombo. Amesema kama ni kuonana, basi isiwe mitaa ya mbali na Temeke. Yaani tusiende mbali. Anaishi kwao.
Mie Temeke sio mwenyeji, napajua Tandika kituo cha daladala na ile barabara ya kwenda Buza.
Naomba unielekeze Yombo iko pande gani. Yaani nafikaje.
Halafu kingine, maeneo ya huko Temeke kuna mahali tulivu naweza mpeleka mtu wangu tukakaa kwa ajili ya mazungumzo.
Wote hatunywi pombe.
Napenda sehem iwe na mandhari tulivu, romantic. Tuweze kuongea kwa utulivu, kisha giza likiingia nimrudishe kwao Yombo mie nirudi Ubungo.
Nisaidie mkuu. Nampenda sana huyu dada.
Kuhusu usafiri nina private car.
ExactlyWewe jamaa ni mpumbavu sana....hivi unapata faida gani kutete ujinga.....mm ni mkazi wa mwanza wa muda mrefu...na uzuri majiji ya dsm na dom nimetembea....nasema hivi mwanza bado tunasafari ndefu sana....watu wawajibike waache kutafuna hela
Mwanza ni Jiji la hovyo tuu,wenzie second City ya Kenya Mombasa inafanana hivi πNaomba nimuombe Rais ikimpendeza afanye mabadiliko makubwa kwa Jiji la Mwanza. Mwanza ni jiji lakini miundombinu yake haina hadhi ya JIJI lolote duniani.
Barabara za mitaa ni tope, makorongo, mtandao wa Lami za mitaa Mwanza ina zidiwa na Manispaa nyingi Tz. Main Roads zipo chini ya Kiwango cha ubora. No strategic plans (wana weka nguzo za taa wakati kuna mkakati wa kupanua barabara). Majengo makubwa hadi VOIL yanajengwa karibu na barabara bila zuio la upanuzi. Barabara ni finyu. Jiji kubwa barabara kubwa ni njia 2 kweli? No alternative routes, kuingia jijini!! Hapa: TANROADS, TARURA, MIPANGO MIJI, ARDHI wakuu wa vitengo wote, Rais piga chini...wapeleke NIDA.
Maji: Mwanza ime zungukwa na Ziwa pande zote ila mgao wa Maji ni mkali kuliko Shinyanga. Wanazalisha lita million 90 kwa siku wakati mahitaji ni lita million 160 kwa siku. Je hawakujua? Je hawajui population growth rate na growth rate ya jiji? Hawa kujipanga? Masoko: masoko ya hili jiji hayana hadhi ya Jiji. Ni ya hovyo. Maji machafu , giza na tope ndio sifa kuu.
Vyombo vya Usalama naomba msaidieni mama kufanya kazi. Uzembe wa hovyo ni mwingi. Pelekeni taarifa kwa wakati.
Mombasa ni mji wa kale wa kibiashara! Mwanza ni mji unaokua kwa nguvu yake na ukuaji wake ni nzuri!Mwanza ni Jiji la hovyo tuu,wenzie second City ya Kenya Mombasa inafanana hivi π
View: https://twitter.com/AfricaViewFacts/status/1699076674598715521?t=omGUJ2LtlAgVqlhCrp3lyA&s=19
Mbeya inapambana na Nyegezi tu! Yaani watu humu ni wapuuzi sana!Kama ungefika Mbeya ungeshangaa sana kuwa Jiji