Jiji la mwanza limejaa washamba na malimbukeni

Lushindo loko ....nani mshamba iweje sehem ya washamba ndo iwe jiji kubwa namba mbili kwa tz na kwa nn isiwe huko kwenu kisokolokwino..[emoji41]
 
Ushamba na wasukuma ni kama kaka na dada hawaezi kutengana kamwe. Yani mutu wa mwanza ata aende wapi dunia hii. Atakuwa mshamba tu
 
Unapumuliwa kwenye kisogo sio bure.
Saa matusi ya nini wewe chali wa shamba city punguzeni ushamba wa ujuaji mwingi jengeni kwa madarasa watoto wenu wapate elimu bora wasiishiye tu kuchunga mbuzi
 

Attachments

  • Screenshot_20230401-164109.png
    146.3 KB · Views: 3
Toa sababu acha ushamba na vijembe tafkir mwanamke
 
Saa matusi ya nini wewe chali wa shamba city punguzeni ushamba wa ujuaji mwingi jengeni kwa madarasa watoto wenu wapate elimu bora wasiishiye tu kuchunga mbuzi
Nmekuona mjinga sana [emoji706][emoji706]
 
Hata kina the late Remmy Ongala aliwahi kuimba Mwanza mji mzuri [emoji440][emoji448][emoji447]

Akasema na watu wake waungwana na wakarimu.

Wewe leo unataka kutuambiaje? [emoji101]
 
Shamba city hamuna jipya muko muko tu kazi kuzaliana tu kaa mchwa na ardhi enyewe hamuna punguzeni ujuaji na ushamba mwingi umewajaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…