Ni aibu kubwa sana kutumia matrillion kujenga mayfly over wakati wananchi hawana maji. Je wangeacha tu kwa mda kujenga daraja la Tanzanite na iyo hela zaidi ya billion 500 kuwekeza kwenye maji si ingekuwa maendeleo zaidi?
Wananchi wamebaki kunywa na kuoga maji ya chumvi gizani.
Aibu kweli kweli.
Wananchi wamebaki kunywa na kuoga maji ya chumvi gizani.
Aibu kweli kweli.