Jiji ni barabara nzuri, nje ya hapo ni vijiji

Jiji ni barabara nzuri, nje ya hapo ni vijiji

El Roi

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2020
Posts
297
Reaction score
537
Najua kwa hakika kabisa kwamba, kupanda hadhi kwa maeneo, mfano mji kuwa manispaa na manispaa kuwa Jiji Kuna vigezo vyake.

Mfano , idadi ya watu, Pato la eneo husika, na sababu nyingine nyingi za kisiasa ambazo sijui kwa hakika zinaingiaje kwenye kupandisha eneo hadhi.

Sababu zao zinaweza kuwa sawa ndiyo, lakini Kuna jambo muhimu ambalo linasahulika sana, nalo ni miundo mbinu ya barabara.

.Napendekeza miundo mbinu Bora hasa ya barabara iwe kigezo Cha kupandisha hadhi eneo Fulani.

Tembelea miji na majiji ya nchi yetu ndo utaona maajabu.

Hakuna kabisa barabara za maana mara tu unapotoka eneo la katikati ya miji, manispaa na majiji yetu.

Tanga, Geita mji, musoma, walau unaweza sema ni maeneo yenye hadhi hiyo iliyonayo.

Majiji yetu ndo kabisaaaa, mbeya barabara nje kidogo ya CBD ni mashimo matupu na hazivutii, Nenda mwanza nje ya CBD. Arusha ndo kabisaaa, ukitoka tu nje ya CBD hutamani lile eneo kuitwa Jiji. Miundo mbinu ya barabara ni mibovu than ever before. Ni matope na makorongo matupu.

Mpaka inafika mahali unajiuliza hivi viongozi hupita kweli barabara na hasa viungani?

Inawezekanaje baada tu ya kuvuka maeneo ya katikati ya miji huoni tena sura ya kuitwa Jiji?
Barabara zilizoko maeneo mengi ni chafu, mashimo na hazipitiki kirahisi na vyombo vya usafiri.

Hivi wakubwa zetu hawajui kwamba , idadi kubwa ya watu unatokea hayo maeneo ambayo hayapewi miundo mbinu Bora?

Tunarahisishaje shughuli za uchumi na kupunguza gharama kwa watu wetu kama barabara zimejaa makorongo vile.

Vipi watu wetu wanaokoa muda au wanapoteza muda kwenye mashimo yanayoitwa barabara?

Vipi kijamii tunasaidia watu wetu kuishi kisasa na kwa ustaarabu?

Ebu nenda uone maeneo yenye hadhi mbovu ya barabara yalivyojaa nyumba za mabanda mabanda yanayofanya hata miji yetu kuwa michafu. Nenda uone maeneo yenye barabara mbaya yalivyojaa wavuta bangi na wanywaji wa pombe za kienyeji!

Hapa suala la kimantiki tu kwamba" mahali ambako hakuna barabara za kupendeza, wastaarabu hawaendi kujenga na kuishi huko as a result wataishi tu watu wa hali duni na kwa maana hiyo, maeneo hayo yatakuwa duni na yatajenga taswira duni ndani ya watu nao watakuwa duni. You are what you see"

Niwaombe viongozi wetu, kwa Leo niwasemee wakuubwa mikoa ambayo ni majiji, Dar, Dodoma, Mwanza, Mbeya , Arusha , na of course Tanga, kuyapa hadhi majiji haya kwa kujenga barabara zenye hadhi ya majiji. Vinginevyo majiji yatakuwa vijiji.
 
Najua kwa hakika kabisa kwamba, kupanda hadhi kwa maeneo, mfano mji kuwa manispaa na manispaa kuwa Jiji Kuna vigezo vyake.

Mfano , idadi ya watu, Pato la eneo husika, na sababu nyingine nyingi za kisiasa ambazo sijui kwa hakika zinaingiaje kwenye kupandisha eneo hadhi.

Sababu zao zinaweza kuwa sawa ndiyo, lakini Kuna jambo muhimu ambalo linasahulika sana, nalo ni miundo mbinu ya barabara.

.Napendekeza miundo mbinu Bora hasa ya barabara iwe kigezo Cha kupandisha hadhi eneo Fulani.

Tembelea miji na majiji ya nchi yetu ndo utaona maajabu.

Hakuna kabisa barabara za maana mara tu unapotoka eneo la katikati ya miji, manispaa na majiji yetu.

Tanga, Geita mji, musoma, walau unaweza sema ni maeneo yenye hadhi hiyo iliyonayo.

Majiji yetu ndo kabisaaaa, mbeya barabara nje kidogo ya CBD ni mashimo matupu na hazivutii, Nenda mwanza nje ya CBD. Arusha ndo kabisaaa, ukitoka tu nje ya CBD hutamani lile eneo kuitwa Jiji. Miundo mbinu ya barabara ni mibovu than ever before. Ni matope na makorongo matupu.

Mpaka inafika mahali unajiuliza hivi viongozi hupita kweli barabara na hasa viungani?

Inawezekanaje baada tu ya kuvuka maeneo ya katikati ya miji huoni tena sura ya kuitwa Jiji?
Barabara zilizoko maeneo mengi ni chafu, mashimo na hazipitiki kirahisi na vyombo vya usafiri.

Hivi wakubwa zetu hawajui kwamba , idadi kubwa ya watu unatokea hayo maeneo ambayo hayapewi miundo mbinu Bora?

Tunarahisishaje shughuli za uchumi na kupunguza gharama kwa watu wetu kama barabara zimejaa makorongo vile.

Vipi watu wetu wanaokoa muda au wanapoteza muda kwenye mashimo yanayoitwa barabara?

Vipi kijamii tunasaidia watu wetu kuishi kisasa na kwa ustaarabu?

Ebu nenda uone maeneo yenye hadhi mbovu ya barabara yalivyojaa nyumba za mabanda mabanda yanayofanya hata miji yetu kuwa michafu. Nenda uone maeneo yenye barabara mbaya yalivyojaa wavuta bangi na wanywaji wa pombe za kienyeji!

Hapa suala la kimantiki tu kwamba" mahali ambako hakuna barabara za kupendeza, wastaarabu hawaendi kujenga na kuishi huko as a result wataishi tu watu wa hali duni na kwa maana hiyo, maeneo hayo yatakuwa duni na yatajenga taswira duni ndani ya watu nao watakuwa duni. You are what you see"

Niwaombe viongozi wetu, kwa Leo niwasemee wakuubwa mikoa ambayo ni majiji, Dar, Dodoma, Mwanza, Mbeya , Arusha , na of course Tanga, kuyapa hadhi majiji haya kwa kujenga barabara zenye hadhi ya majiji. Vinginevyo majiji yatakuwa vijiji.
Nani mwenye wajibu wa kujenga hizo Barabara nzuri?
 
Wakazi wa Tegeta A wamejenga majengo mazuri mazuri Kila sehemu ila hakuna hata nusu kilometer moja ya lami na ikinyesha ni balaa
Mwezi uliopita matajiri wa kata wame kwangua na kushindilia barabara kwa gharama zao.
NB; Kuna serikali ya mtaa,diwani na mbunge ambao hawafanyi lolote
 
Najua kwa hakika kabisa kwamba, kupanda hadhi kwa maeneo, mfano mji kuwa manispaa na manispaa kuwa Jiji Kuna vigezo vyake.

Mfano , idadi ya watu, Pato la eneo husika, na sababu nyingine nyingi za kisiasa ambazo sijui kwa hakika zinaingiaje kwenye kupandisha eneo hadhi.

Sababu zao zinaweza kuwa sawa ndiyo, lakini Kuna jambo muhimu ambalo linasahulika sana, nalo ni miundo mbinu ya barabara.

.Napendekeza miundo mbinu Bora hasa ya barabara iwe kigezo Cha kupandisha hadhi eneo Fulani.

Tembelea miji na majiji ya nchi yetu ndo utaona maajabu.

Hakuna kabisa barabara za maana mara tu unapotoka eneo la katikati ya miji, manispaa na majiji yetu.

Tanga, Geita mji, musoma, walau unaweza sema ni maeneo yenye hadhi hiyo iliyonayo.

Majiji yetu ndo kabisaaaa, mbeya barabara nje kidogo ya CBD ni mashimo matupu na hazivutii, Nenda mwanza nje ya CBD. Arusha ndo kabisaaa, ukitoka tu nje ya CBD hutamani lile eneo kuitwa Jiji. Miundo mbinu ya barabara ni mibovu than ever before. Ni matope na makorongo matupu.

Mpaka inafika mahali unajiuliza hivi viongozi hupita kweli barabara na hasa viungani?

Inawezekanaje baada tu ya kuvuka maeneo ya katikati ya miji huoni tena sura ya kuitwa Jiji?
Barabara zilizoko maeneo mengi ni chafu, mashimo na hazipitiki kirahisi na vyombo vya usafiri.

Hivi wakubwa zetu hawajui kwamba , idadi kubwa ya watu unatokea hayo maeneo ambayo hayapewi miundo mbinu Bora?

Tunarahisishaje shughuli za uchumi na kupunguza gharama kwa watu wetu kama barabara zimejaa makorongo vile.

Vipi watu wetu wanaokoa muda au wanapoteza muda kwenye mashimo yanayoitwa barabara?

Vipi kijamii tunasaidia watu wetu kuishi kisasa na kwa ustaarabu?

Ebu nenda uone maeneo yenye hadhi mbovu ya barabara yalivyojaa nyumba za mabanda mabanda yanayofanya hata miji yetu kuwa michafu. Nenda uone maeneo yenye barabara mbaya yalivyojaa wavuta bangi na wanywaji wa pombe za kienyeji!

Hapa suala la kimantiki tu kwamba" mahali ambako hakuna barabara za kupendeza, wastaarabu hawaendi kujenga na kuishi huko as a result wataishi tu watu wa hali duni na kwa maana hiyo, maeneo hayo yatakuwa duni na yatajenga taswira duni ndani ya watu nao watakuwa duni. You are what you see"

Niwaombe viongozi wetu, kwa Leo niwasemee wakuubwa mikoa ambayo ni majiji, Dar, Dodoma, Mwanza, Mbeya , Arusha , na of course Tanga, kuyapa hadhi majiji haya kwa kujenga barabara zenye hadhi ya majiji. Vinginevyo majiji yatakuwa vijiji.
Weka picha, please.
 
Najua kwa hakika kabisa kwamba, kupanda hadhi kwa maeneo, mfano mji kuwa manispaa na manispaa kuwa Jiji Kuna vigezo vyake.

Mfano , idadi ya watu, Pato la eneo husika, na sababu nyingine nyingi za kisiasa ambazo sijui kwa hakika zinaingiaje kwenye kupandisha eneo hadhi.

Sababu zao zinaweza kuwa sawa ndiyo, lakini Kuna jambo muhimu ambalo linasahulika sana, nalo ni miundo mbinu ya barabara.

.Napendekeza miundo mbinu Bora hasa ya barabara iwe kigezo Cha kupandisha hadhi eneo Fulani.

Tembelea miji na majiji ya nchi yetu ndo utaona maajabu.

Hakuna kabisa barabara za maana mara tu unapotoka eneo la katikati ya miji, manispaa na majiji yetu.

Tanga, Geita mji, musoma, walau unaweza sema ni maeneo yenye hadhi hiyo iliyonayo.

Majiji yetu ndo kabisaaaa, mbeya barabara nje kidogo ya CBD ni mashimo matupu na hazivutii, Nenda mwanza nje ya CBD. Arusha ndo kabisaaa, ukitoka tu nje ya CBD hutamani lile eneo kuitwa Jiji. Miundo mbinu ya barabara ni mibovu than ever before. Ni matope na makorongo matupu.

Mpaka inafika mahali unajiuliza hivi viongozi hupita kweli barabara na hasa viungani?

Inawezekanaje baada tu ya kuvuka maeneo ya katikati ya miji huoni tena sura ya kuitwa Jiji?
Barabara zilizoko maeneo mengi ni chafu, mashimo na hazipitiki kirahisi na vyombo vya usafiri.

Hivi wakubwa zetu hawajui kwamba , idadi kubwa ya watu unatokea hayo maeneo ambayo hayapewi miundo mbinu Bora?

Tunarahisishaje shughuli za uchumi na kupunguza gharama kwa watu wetu kama barabara zimejaa makorongo vile.

Vipi watu wetu wanaokoa muda au wanapoteza muda kwenye mashimo yanayoitwa barabara?

Vipi kijamii tunasaidia watu wetu kuishi kisasa na kwa ustaarabu?

Ebu nenda uone maeneo yenye hadhi mbovu ya barabara yalivyojaa nyumba za mabanda mabanda yanayofanya hata miji yetu kuwa michafu. Nenda uone maeneo yenye barabara mbaya yalivyojaa wavuta bangi na wanywaji wa pombe za kienyeji!

Hapa suala la kimantiki tu kwamba" mahali ambako hakuna barabara za kupendeza, wastaarabu hawaendi kujenga na kuishi huko as a result wataishi tu watu wa hali duni na kwa maana hiyo, maeneo hayo yatakuwa duni na yatajenga taswira duni ndani ya watu nao watakuwa duni. You are what you see"

Niwaombe viongozi wetu, kwa Leo niwasemee wakuubwa mikoa ambayo ni majiji, Dar, Dodoma, Mwanza, Mbeya , Arusha , na of course Tanga, kuyapa hadhi majiji haya kwa kujenga barabara zenye hadhi ya majiji. Vinginevyo majiji yatakuwa vijiji.
Bandiko bora kabisa hili, serikali yetu huwa inaangalia jiji la Dar tu na kwasasa Dodoma, majiji mengine yaliyobaki yanaonekana kama sehemu za wachunga mbuzi au sehemu za wavuvi naomba sana serikali iige hata hapo kwa jirani yetu kenya aone jinsi miji na majiji yalivyo na miundombinu ya uhakika, hapa kwetu ukitaka kuona fryovers lazima uende Dar, hata madaraja na ma interchange, ukija upande wa barabara majiji yetu ukitoa Dar na Dodoma hayana tofauti na uwanja wa vita.
 
Hii yote imesababishwa na ufisadi, wala rushwa, uongozi mbovu na ignorance. Tatizo hili lazikumba nchi nyingi za Africa sio bongo tu.

Miundombinu ni key kwenye ustawi wa jamii husika. Hasa barabara ambzo zina aid usafirishaji. Ndo maana Jpm ali pigania sana miundombinu lakn haohao wapinzani wali mpinga. Ignorance is bliss. Watanzania na waafrika kwa ujumla wanalaana.
 
Bandiko bora kabisa hili, serikali yetu huwa inaangalia jiji la Dar tu na kwasasa Dodoma, majiji mengine yaliyobaki yanaonekana kama sehemu za wachunga mbuzi au sehemu za wavuvi naomba sana serikali iige hata hapo kwa jirani yetu kenya aone jinsi miji na majiji yalivyo na miundombinu ya uhakika, hapa kwetu ukitaka kuona fryovers lazima uende Dar, hata madaraja na ma interchange, ukija upande wa barabara majiji yetu ukitoa Dar na Dodoma hayana tofauti na uwanja wa vita.
Exactly , yaani kila siku wana miradi ya barabara ila haziishi tu...Serikali haina mpango dhidi ya majiji zaidi ya siasa , kwa sasa wameelekeza nguvu Dodoma maana wanaishi huko hata investments zao zipo huko.

kama tangu enzi za Mkapa tu wangekuwa na plan moja nafikria wangefikia maeneo mengi ya katika miji.
 
Bandiko bora kabisa hili, serikali yetu huwa inaangalia jiji la Dar tu na kwasasa Dodoma, majiji mengine yaliyobaki yanaonekana kama sehemu za wachunga mbuzi au sehemu za wavuvi naomba sana serikali iige hata hapo kwa jirani yetu kenya aone jinsi miji na majiji yalivyo na miundombinu ya uhakika, hapa kwetu ukitaka kuona fryovers lazima uende Dar, hata madaraja na ma interchange, ukija upande wa barabara majiji yetu ukitoa Dar na Dodoma hayana tofauti na uwanja wa vita.
Kenya wapo mbali unakuja mji wa 6 kweny nchi kuna flyovers za maana , hapa wazee wa kukwapua tu pesa
 
Najua kwa hakika kabisa kwamba, kupanda hadhi kwa maeneo, mfano mji kuwa manispaa na manispaa kuwa Jiji Kuna vigezo vyake.

Mfano , idadi ya watu, Pato la eneo husika, na sababu nyingine nyingi za kisiasa ambazo sijui kwa hakika zinaingiaje kwenye kupandisha eneo hadhi.

Sababu zao zinaweza kuwa sawa ndiyo, lakini Kuna jambo muhimu ambalo linasahulika sana, nalo ni miundo mbinu ya barabara.

.Napendekeza miundo mbinu Bora hasa ya barabara iwe kigezo Cha kupandisha hadhi eneo Fulani.

Tembelea miji na majiji ya nchi yetu ndo utaona maajabu.

Hakuna kabisa barabara za maana mara tu unapotoka eneo la katikati ya miji, manispaa na majiji yetu.

Tanga, Geita mji, musoma, walau unaweza sema ni maeneo yenye hadhi hiyo iliyonayo.

Majiji yetu ndo kabisaaaa, mbeya barabara nje kidogo ya CBD ni mashimo matupu na hazivutii, Nenda mwanza nje ya CBD. Arusha ndo kabisaaa, ukitoka tu nje ya CBD hutamani lile eneo kuitwa Jiji. Miundo mbinu ya barabara ni mibovu than ever before. Ni matope na makorongo matupu.

Mpaka inafika mahali unajiuliza hivi viongozi hupita kweli barabara na hasa viungani?

Inawezekanaje baada tu ya kuvuka maeneo ya katikati ya miji huoni tena sura ya kuitwa Jiji?
Barabara zilizoko maeneo mengi ni chafu, mashimo na hazipitiki kirahisi na vyombo vya usafiri.

Hivi wakubwa zetu hawajui kwamba , idadi kubwa ya watu unatokea hayo maeneo ambayo hayapewi miundo mbinu Bora?

Tunarahisishaje shughuli za uchumi na kupunguza gharama kwa watu wetu kama barabara zimejaa makorongo vile.

Vipi watu wetu wanaokoa muda au wanapoteza muda kwenye mashimo yanayoitwa barabara?

Vipi kijamii tunasaidia watu wetu kuishi kisasa na kwa ustaarabu?

Ebu nenda uone maeneo yenye hadhi mbovu ya barabara yalivyojaa nyumba za mabanda mabanda yanayofanya hata miji yetu kuwa michafu. Nenda uone maeneo yenye barabara mbaya yalivyojaa wavuta bangi na wanywaji wa pombe za kienyeji!

Hapa suala la kimantiki tu kwamba" mahali ambako hakuna barabara za kupendeza, wastaarabu hawaendi kujenga na kuishi huko as a result wataishi tu watu wa hali duni na kwa maana hiyo, maeneo hayo yatakuwa duni na yatajenga taswira duni ndani ya watu nao watakuwa duni. You are what you see"

Niwaombe viongozi wetu, kwa Leo niwasemee wakuubwa mikoa ambayo ni majiji, Dar, Dodoma, Mwanza, Mbeya , Arusha , na of course Tanga, kuyapa hadhi majiji haya kwa kujenga barabara zenye hadhi ya majiji. Vinginevyo majiji yatakuwa vijiji.
Baadhi ya barabara za mitaa ya dar ni kama madampo watu wanatiririsha maji machafu toka vyooni
 
Baadhi ya barabara za mitaa ya dar ni kama madampo watu wanatiririsha maji machafu toka vyooni
Huo ni uchafu wenu wenyewe, kama barabara zipo lakini wananchi wanaziharibu ni ujinga wenu wenyewe, majiji mengine hayana hata hizo barabara ni kama upo kwenye makorongo ya dafur.
 
Back
Top Bottom