nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
- Thread starter
- #21
ku enjoy nini sasa? yaani wewe ndiye unanipa ruhusa ya ku enjoy ama la? embu chapa lapa bana,majukwaa yako mengi nenda hata jukwaa la kilimo ka discuss matikiti majiHapana mkuu. Sio kwamba nakuchukia. Mie nakwambia kwa nia nzuri ili ikusaidie kwenye maisha ya nje ya JF. Jiamini... Hata uwe mfupi kama joti au uwe na kibamia. Hilo halikuondolei uanamme wako... Enjoy...