fakenology
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 999
- 672
Hivi ujenzi wa Msalato International Airport umeanza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funga na fungus semi?Sijakosea,
Nimeweka maneno yangu ndani ya funga na fungus semi,
Ni 'Laha Lohoni',
Inaelekea Kiswahili (andishi) kwako ni changamito kidogo.
Tena sehemu kama Dodoma mh... wahishimiwa wengi wa ule mjengo mimi sina imani nao!na ukimwi upo pia wa kutosha
Bei zao vp maana huku La Charz elfu 20 tu unajichaguliaSahivi hakuna totozi wanawaza UE ungekuta before UE ndo ungeziona
duh hadi huko nako watu wanakula bata aisee kweli raha jipe mwenyeweHakuna sehemu kama sumbawanga kwakula bata
Jiongeze basi.Funga na fungus semi?
Mkuu pale hata ten inategemea na sehemu ulipomkuta kuna wengine mpk buku 5 cha kusimanaBei zao vp maana huku La Charz elfu 20 tu unajichagulia
Nipe gps location mkuuDom bado sana,vyuo vikifungwa hakuna kitu
Ukitaka totoz tua singda town,huwez jua mbaya na mzuri ni yupi
upi mlupo upi classic,,,,,wale watoto ni nyoko
dodoma makeup nying mno
Kumbe pale wapo vilaza lecture anavujisha mtianiue gani hizo za udom ukimpa mwalimu pesa anakumwagia maswali na majibu ya mitihani ndo za kuwaza hadi ushindwe kula bata?
Ila utamu si upona ukimwi upo pia wa kutosha
Kuna sehemu nilikuona unakunywa Safari Area D[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]marhabaaaa...njoo idodomiyaa[emoji12]
Ni kweli kabisa, Washington haijawahi ishinda New York!!!Afu Dom iko overrated mwez wa sita nimefanya safari ya arusha via Iringa Dom nikalala hapo siku moja yaani mji hauna mishemishe pamepoa hata vity centre au cbd yenyewe haieleweki kiufupi Dom bado sana ila mji unakua as residential ila sio mji wa biashara
niko hapa nmb dk mbili nikukute hapo getiniNipo hapa libori center, niletee bata
Na ndo inatakiwa iwe ivo kuwe na Miji ya kibiashara na Makao makuu ya nchi hii ina save sana mana jiji la biashara kama dar kusimamisha watu muda mrefu kisa misafara ya viongozi sio poaNi kweli kabisa, Washington haijawahi ishinda New York!!!
Dodoma , the Central Corridor and City Capital of Tanzania…
Watu (wapyawapya) wako bussy na hekaheka ni nyingi sana kila kona ya Jiji la Dodoma. Hakuna kinachoshindikana.
Kuna mabinti wengi sana 'visu' toka Singida , Manyara ( Babati, Mbulu, Kateshi..) na Arusha (Meru) kwenye viunga vya 'kula bata' ndani ya Jiji. Watoto ni wengi sana kwenye 'lounges, clubs, pubs, local bars, restaurants, massage points na saloons za kike'!
Hapa nazungumzia 15 - 23 yrs old chicks!
Kamji kazuri . Barabara safi zilizopangika katikati ya Jiji na madhara safi kabisa.
Wageni ni wengi sana.
Ikifika jioni watu wanaanza kujisogeza ' Platinumz, Rainbow, Rose Garden, Maisha Club, Morena, Chako ni chako , African Dreams, n.k'
Dodoma mambo ni motoo…
Wasalam.
Karibuni Dodoma. Wagogo ni wakalimu sana.