JIJINI DODOMA : Viwanja vya kula bata na 'totozi' ni balaa…

JIJINI DODOMA : Viwanja vya kula bata na 'totozi' ni balaa…

Dom bado sana,vyuo vikifungwa hakuna kitu

Ukitaka totoz tua singda town,huwez jua mbaya na mzuri ni yupi

upi mlupo upi classic,,,,,wale watoto ni nyoko

dodoma makeup nying mno
 
Dom bado sana,vyuo vikifungwa hakuna kitu

Ukitaka totoz tua singda town,huwez jua mbaya na mzuri ni yupi

upi mlupo upi classic,,,,,wale watoto ni nyoko

dodoma makeup nying mno
Nipe gps location mkuu
 
Asante kwa kunisifia sifa kedekede najivunia kuwa dodoma Demiss miyeee
 
Afu Dom iko overrated mwez wa sita nimefanya safari ya arusha via Iringa Dom nikalala hapo siku moja yaani mji hauna mishemishe pamepoa hata vity centre au cbd yenyewe haieleweki kiufupi Dom bado sana ila mji unakua as residential ila sio mji wa biashara
Ni kweli kabisa, Washington haijawahi ishinda New York!!!
 
Ni kweli kabisa, Washington haijawahi ishinda New York!!!
Na ndo inatakiwa iwe ivo kuwe na Miji ya kibiashara na Makao makuu ya nchi hii ina save sana mana jiji la biashara kama dar kusimamisha watu muda mrefu kisa misafara ya viongozi sio poa
 
Dodoma , the Central Corridor and City Capital of Tanzania…

Watu (wapyawapya) wako bussy na hekaheka ni nyingi sana kila kona ya Jiji la Dodoma. Hakuna kinachoshindikana.

Kuna mabinti wengi sana 'visu' toka Singida , Manyara ( Babati, Mbulu, Kateshi..) na Arusha (Meru) kwenye viunga vya 'kula bata' ndani ya Jiji. Watoto ni wengi sana kwenye 'lounges, clubs, pubs, local bars, restaurants, massage points na saloons za kike'!

Hapa nazungumzia 15 - 23 yrs old chicks!

Kamji kazuri . Barabara safi zilizopangika katikati ya Jiji na madhara safi kabisa.

Wageni ni wengi sana.

Ikifika jioni watu wanaanza kujisogeza ' Platinumz, Rainbow, Rose Garden, Maisha Club, Morena, Chako ni chako , African Dreams, n.k'

Dodoma mambo ni motoo…

Wasalam.

Karibuni Dodoma. Wagogo ni wakalimu sana.

,,,,Usisahau pia maambukizi ya VVU yamepanda sana huko...Take care ndugu
 
Back
Top Bottom