JIJINI DODOMA : Viwanja vya kula bata na 'totozi' ni balaa…

Sijakosea,
Nimeweka maneno yangu ndani ya funga na fungus semi,
Ni 'Laha Lohoni',
Inaelekea Kiswahili (andishi) kwako ni changamito kidogo.
Funga na fungus semi?
 
Dom bado sana,vyuo vikifungwa hakuna kitu

Ukitaka totoz tua singda town,huwez jua mbaya na mzuri ni yupi

upi mlupo upi classic,,,,,wale watoto ni nyoko

dodoma makeup nying mno
 
Dom bado sana,vyuo vikifungwa hakuna kitu

Ukitaka totoz tua singda town,huwez jua mbaya na mzuri ni yupi

upi mlupo upi classic,,,,,wale watoto ni nyoko

dodoma makeup nying mno
Nipe gps location mkuu
 
Asante kwa kunisifia sifa kedekede najivunia kuwa dodoma Demiss miyeee
 
Ni kweli kabisa, Washington haijawahi ishinda New York!!!
 
Ni kweli kabisa, Washington haijawahi ishinda New York!!!
Na ndo inatakiwa iwe ivo kuwe na Miji ya kibiashara na Makao makuu ya nchi hii ina save sana mana jiji la biashara kama dar kusimamisha watu muda mrefu kisa misafara ya viongozi sio poa
 

,,,,Usisahau pia maambukizi ya VVU yamepanda sana huko...Take care ndugu
 
Uzi huu bila picha ni ubatili mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…