Dodoma messengers
JF-Expert Member
- Aug 28, 2019
- 565
- 902
Linabajet matumizi ya mkaa
Utaratibu wa Malipo Upoje kwa Mie niliye Mkoani Geita.?Kwa Morogoro Mzigo unakufikia BURE. Mikoani tunatuma kwa Basi.. karibuni
0621149433
Swali zuri sana. hizi nazo zitapitaHow? Linafanyaje kupunguza hiyo budget, kuna specification ya products yenye kuonesha kipimo/kilo/Calories/ etc? Any digits kwa hiyo budget?
Maharage ili yaive yanahitaji kwango cha moto X kwa muda Y.
Hapo itatofautiana na mkaa either wa Mwembe, Mkorosho, Mfenesi etc.
Anyway, usione nimeandika kinongwanongwa maana nishanunulishwa ma vitu kama haya halafu yakawa hayaleti kusudio..
Nmeyapokea huku chunya nategemea majibu kwa wife ntaleta mlejesho soon baada ya siku ngapi ivView attachment 2481045View attachment 2481046Swali zuri sana. hizi nazo zitapita
Dodoma mpo?mtandaoni vipi mnapatikana kwenye tovuti ipi?Haya ni majiko ya kisasa yenye material maalum ya kuzuia joto lisipotee hivyo kukuwezesha kutumia mkaa kidogo tu kuivisha vyakula.
Unapewa pamoja na warrant ya mwaka mmoja. Kwa mkoa Morogoro mzigo unakufikia BURE, mikoa mingine tunatuma kwa njia ya basi.
Piga 0621149433.
View attachment 2472027View attachment 2472029
Poaa ntkakucheki0621149433