INAUZWA Jiko Koa kwa elfu 46 tu!

INAUZWA Jiko Koa kwa elfu 46 tu!

Kwa wale wa Dodoma,endapo ikitokea umeagiza jiko koa kwa njia ya BASI na umetingwa na kazi nyingine,usisite kufanya mawasiliano na Dodoma messengers, ufanyiwe delivery kutoka kwenye ofisi za kampuni ya BASI husika,hadi kwako.Mawasiliano: 0765920855/0779017650. Asante.
 
Linabajet matumizi ya mkaa

How? Linafanyaje kupunguza hiyo budget, kuna specification ya products yenye kuonesha kipimo/kilo/Calories/ etc? Any digits kwa hiyo budget?

Maharage ili yaive yanahitaji kwango cha moto X kwa muda Y.
Hapo itatofautiana na mkaa either wa Mwembe, Mkorosho, Mfenesi etc.

Anyway, usione nimeandika kinongwanongwa maana nishanunulishwa ma vitu kama haya halafu yakawa hayaleti kusudio..
 
Nimepokea mzigo wangu leo..
Nitalijaribu kesho..
Naona kile kisehemu cha kuwekea mkaa ni padogo sana nategemea kupata majibu mazuri pia.View attachment 2477547
20230111_170622.jpg

View attachment 2477553
 
How? Linafanyaje kupunguza hiyo budget, kuna specification ya products yenye kuonesha kipimo/kilo/Calories/ etc? Any digits kwa hiyo budget?

Maharage ili yaive yanahitaji kwango cha moto X kwa muda Y.
Hapo itatofautiana na mkaa either wa Mwembe, Mkorosho, Mfenesi etc.

Anyway, usione nimeandika kinongwanongwa maana nishanunulishwa ma vitu kama haya halafu yakawa hayaleti kusudio..
Swali zuri sana. hizi nazo zitapita
 
Niliwahi tumia yale ya rwanda. Yako poa sana. Mkaa kidogo na likipata moto limepata.
Haya majiko mie ni mtumiaji mzuri so nayajua vilivyo
 
Ni Bei ya offer hii. Itabadilika February
 
Haya ni majiko ya kisasa yenye material maalum ya kuzuia joto lisipotee hivyo kukuwezesha kutumia mkaa kidogo tu kuivisha vyakula.

Unapewa pamoja na warrant ya mwaka mmoja. Kwa mkoa Morogoro mzigo unakufikia BURE, mikoa mingine tunatuma kwa njia ya basi.

Piga 0621149433.

View attachment 2472027View attachment 2472029
Dodoma mpo?mtandaoni vipi mnapatikana kwenye tovuti ipi?
Maana haya ya kuweka namba tu,siku Hz Kuna wasiojulikana
 
Back
Top Bottom