INAUZWA Jiko la kuchomea nyama linauzwa

Joined
Mar 15, 2019
Posts
64
Reaction score
178
Habari gani wakuu.

Ninauza jiko la kuchomea nyama ni mpya kabisa. Unaweza kuchomea nyama ya ng'ombe, mbuzi au kuku. Linafaa kwa mgahawani, bar au hata barabarani kwasababu linabebeka.

Bei yake ni Tsh 140,000 mazungumzo yapo !!

Nicheki WhatsApp: 0683535699

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…