Hashpower7113
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,353
- 2,142
Leta picha mkuu
Aahaaa kudadadeki..uko vizuri mkuu
Mara mojamoja sio mbaya mkuu...leo nimetimiza mwaka bila kula chakula cha aina hyo ikabidi nijitosea tu. Ukiacha pombe unakula vyakula vya ajabu ajabu kama hivi[emoji23]Aahaaa kudadadeki..uko vizuri mkuu
Kitu cha mtumeeMara mojamoja sio mbaya mkuu...leo nimetimiza mwaka bila kula chakula cha aina hyo ikabidi nijitosea tu. Ukiacha pombe unakula vyakula vya ajabu ajabu kama hivi[emoji23]View attachment 1174994