Jikosoe udhaifu wako [Thread]

Ni wabongo au international?
Wabongo kibao unajiokotea tu kila unaemtaka unampata hakuna asieuza kule wengine wanajifanya hawauzi kumbe wanauza indirectly

Unampata kwa location mfano ukiwa gongo la mboto ukamtaka alie gongo la mboto unaset location tu wanakuja pale unachagua unamvutia Waya unaemtaka unaenda kujipigia

Nakupa code :

Ukiona a/C imeandikwa Open to chat halafu haina maelezo mengi wewe pita nae huyo uliza bei moja kwa moja usipoteze Muda wa salamu na upuuzi mwingine hawapendagi maelezo mengi uliza bei ukifika makubariano chukua namba mmalizane offline
 
Mkuu samahani naomba nikuulize...

Ushawahi kutumia mjani?
 
Wewe tena...๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Mungu akubariki sana na Imani na Mimi unaweza nisaidia
 
Wewe tena...๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Ndio ndio ni Mimi huyu huyu Mwanamke mwenye mambo mengi mengi simtaki sema unataka shingapi kukuvua Chupi tumalizane, matumizi ya kijingajinga utahudumiwa na babako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ