Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Haaaa haaaa haaaa! Umeua mkuuNilikuwa na mwandiko mzuri sana nakumbuka nilikuwa napewa hadi tenda ya kuandika barua za watu (wapenzi).
Barua zangu nilikuwa nikimpa mwanamke akatae naenda kuifuata napeleka kwingineko.
hahaaa..jina lake la kati " mbona haujaliweka aisee.."" Juma Paulo Mwamnofu ""Dear Juma Mwamnofu.
Hofu na mashaka ni kwako uliye mbali na upeo wa macho yangu. Sisi sote tu wazima wa afya.
Dhumuni la kukuandikia barua hii ni kukujulisha mambo machache.
Siku hizi vitu vya KUZINDUA vimekuwa vya kutafuta kwa tochi kama TAKWIMU zileeeee za MAKUSANYO YA MAPATO YA TRA. Mpendwa CAG ameniomba nikuulize vipi kuhusu deni lake la 1.5?
Wasalime sana wauzaji wa mafuta na sukari.
Wako mtiifu Mwanajamiiforum wa msimu.
Hahahahahaaa! Mbona haujamueleza namna Watanzania milioni 50+ tulivyonunuliwa mapapai na ndizi za "harufu salasini" na tukashiba na kusaza?Dear Juma Mwamnofu.
Hofu na mashaka ni kwako uliye mbali na upeo wa macho yangu. Sisi sote tu wazima wa afya.
Dhumuni la kukuandikia barua hii ni kukujulisha mambo machache.
Siku hizi vitu vya KUZINDUA vimekuwa vya kutafuta kwa tochi kama TAKWIMU zileeeee za MAKUSANYO YA MAPATO YA TRA. Mpendwa CAG ameniomba nikuulize vipi kuhusu deni lake la 1.5?
Wasalime sana wauzaji wa mafuta na sukari.
Wako mtiifu Mwanajamiiforum wa msimu.
Dear Juma Mwamnofu.
Hofu na mashaka ni kwako uliye mbali na upeo wa macho yangu. Sisi sote tu wazima wa afya.
Dhumuni la kukuandikia barua hii ni kukujulisha mambo machache.
Siku hizi vitu vya KUZINDUA vimekuwa vya kutafuta kwa tochi kama TAKWIMU zileeeee za MAKUSANYO YA MAPATO YA TRA. Mpendwa CAG ameniomba nikuulize vipi kuhusu deni lake la 1.5?
Wasalime sana wauzaji wa mafuta na sukari.
Wako mtiifu Mwanajamiiforum wa msimu.
Nilikuwa na mwandiko mzuri sana nakumbuka nilikuwa napewa hadi tenda ya kuandika barua za watu (wapenzi).
Barua zangu nilikuwa nikimpa mwanamke akatae naenda kuifuata napeleka kwingineko.