Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HUYU LAZIMA ATAKUWA MTAALAMU WA NDOAPale Muslim University of Morogoro tutamkumbuka Sheikh Mikidadi kwa busara zake.
Dr.wentengele KitojoKama ujui kitu bora unyamaze hivi Mathew Luhanga , Ndalichako and co nao wawe nguin you cant be serious dude.
Sheikh Prof. Daruweshi Alhaji Mikidadi atakumbukwa kwa mawaidha juu ya umuhimu wa Hijja pia Sheikh Kipozeo atakumbukwa kwa busara zake timamu.HUYU LAZIMA ATAKUWA MTAALAMU WA NDOA
Umejiridhisha NECTA?Prof. Dr. Eng. Daudi Albert Bashite
Kwa waliosoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam miaka ya 90 hadi 2010 watakumbuka Cream ya Madaktari na Maprofesa wakali waliokuwapo pale. Sasa hivi wengine wametangulia mbele ya haki, wengine kustaafu na wengine kuacha kazi na kuingia katika siasa hasa ubunge. Leo nimewakumbuka nikawafananisha na timu ya Barcelona wakali hao. Huenda wengine wamefariki halafu sijui kama wajua saidia kuweka RIP na ongeza wengine unaowakumbuka. Sijui sasa hivi hali ikoje kwa upande wa ubora ukilinganisha na wakali hawa
1. Prof. Mathew Luhanga - Vice Chancelor
2. Prof. Mayunga Nkunya
3. Prof John Mshana
4. Prof. Mutabaji
5. Prof. Idris Kikula
6. Prof. Rwekaza Mukandala - Sasa ndiye Vice - Chancelor
7. Prof. Haroub Othmani -R.I.P.
8. Dr. Sengodo Mvungi - R.I.P
9. Prof. Issa Shivji
10. Prof. M. M. Mulokozi
11. Dr. Ndibalema
12. Dr. Hamza Njozi
13. Prof Josephati Maghway
14. Prof. Ishumi
15. Prof. Galabawa
16. Prof. Chachage - R.I.P
17. Dr. A Rwaitama
18. Prof. P. Mlama
19. Dr. Joyce Ndalichako
20. Prof. H. Mwansoko
21. Dr. Mreta
22. Dr. Kadeghe
23. Prof. Omary
24. Dr. B. Massele
Hawa ni baadhi tu ya wakali wa wakati huo baadhi yao bado wapo. Heshima zao sana.
Bila shaka wewe umesoma Political Science!prof. Samuel Mushi
DR. Mohamed Bakari
prof Amon Chaligha
prof. Max Mmuya
prof Mutahaba
DR Ng'wanza Kamata
DR sister Kante
prof Mohabe Nyirabu
DR Nassoro
Prof.Mbonile wa GeographyProf. MBONILE
Prof. MWAMWENDA
Nakumbuka tuliomba kozi ifutwe baada ya ule msiba, maana tuliona kama hakuna atakayeweza kutufundisha. na wengi tulienda kusoma hiyo course kwa sababu yake.Namba 7,Prof Haroub alifarik akiwa ndo course coordinator wa kozi alokua akitufundisha pale IDS, Nakumbuka alitoa timed test,weekend ndo akafariki,some body Dick Mulungu ndo aliimalizia ile course(Governance and Civil Society) Allah ampumzishe kwa amani
Prof. Mugongo FimboKwa waliosoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam miaka ya 90 hadi 2010 watakumbuka Cream ya Madaktari na Maprofesa wakali waliokuwapo pale. Sasa hivi wengine wametangulia mbele ya haki, wengine kustaafu na wengine kuacha kazi na kuingia katika siasa hasa ubunge. Leo nimewakumbuka nikawafananisha na timu ya Barcelona wakali hao. Huenda wengine wamefariki halafu sijui kama wajua saidia kuweka RIP na ongeza wengine unaowakumbuka. Sijui sasa hivi hali ikoje kwa upande wa ubora ukilinganisha na wakali hawa
1. Prof. Mathew Luhanga - Vice Chancelor
2. Prof. Mayunga Nkunya
3. Prof John Mshana
4. Prof. Mutabaji
5. Prof. Idris Kikula
6. Prof. Rwekaza Mukandala - Sasa ndiye Vice - Chancelor
7. Prof. Haroub Othmani -R.I.P.
8. Dr. Sengodo Mvungi - R.I.P
9. Prof. Issa Shivji
10. Prof. M. M. Mulokozi
11. Dr. Ndibalema
12. Dr. Hamza Njozi
13. Prof Josephati Maghway
14. Prof. Ishumi
15. Prof. Galabawa
16. Prof. Chachage - R.I.P
17. Dr. A Rwaitama
18. Prof. P. Mlama
19. Dr. Joyce Ndalichako
20. Prof. H. Mwansoko
21. Dr. Mreta
22. Dr. Kadeghe
23. Prof. Omary
24. Dr. B. Massele
Hawa ni baadhi tu ya wakali wa wakati huo baadhi yao bado wapo. Heshima zao sana.
Kipozeo mzee wa miss bantu na mizigo. Hatari sana sheikSheikh Prof. Daruweshi Alhaji Mikidadi atakumbukwa kwa mawaidha juu ya umuhimu wa Hijja pia Sheikh Kipozeo atakumbukwa kwa busara zake timamu.
Justinian F. Rweyemamu (28 September 1942 – 30 March 1982) was Tanzania's first major economics scholar.nan profesar wa kwanza tanzania wadau ili swali cna jibu lake