Jikumbushe Madokta na Maprofesa hawa

Prof ngwale ** ukiona gari yangu manzese ujue imeibiwa**
 


Dr.Ndibalema Alphonce.R.I.P(2011)
Prof.Paul Maro R.I.P (2016)
 
Nakumbuka tuliomba kozi ifutwe baada ya ule msiba, maana tuliona kama hakuna atakayeweza kutufundisha. na wengi tulienda kusoma hiyo course kwa sababu yake.
 
Dr.Makene wale wa MBB CoNAS wanamkumbuka kwa ubabe wake kwenye courses zake za immunology na Molecular biology
Prof Francis Magingo MC 100
 
Prof. Mugongo Fimbo
Prof. Kanywanyi
Dr. Mukoyogo
Prof. Dani Wadada Nabudere
Prof. Mamdani
Prof. Tandon, Y
Prof. Orub Othman
Prof. Walter Rodney
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…