Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
Dr Ndibalema mzee wa serendipityDr.Ndibalema Alphonce.R.I.P(2011)
Prof.Paul Maro R.I.P (2016)
Nimefundishwa na DR sister Kante, niliopt her course PL 100.Hana hiyana mama wa watuBila shaka wewe umesoma Political Science!
Martin?..Prof William Makene R.I.P
Prof Basinda R.I.P
Prof Gabriel Mwaluko R.I.P
Prof Raphael Lema P.I.P
Prof James Shaba
Prof Zul.Premji
Prof Mandara
Prof Samwel Maselle
Prof Idd Mbaga
Prof Charles Kihamia
Prof Fred Mhalu
Prof Abel Msengi R.I.P
Prof Lwiza R.I.P..
Prof.mpangalaProf Mussa Assad
Prof juma kapuya
Prof john shayo(r.i.p)
Prof rutashobya
Dr masumbuko lamwai
Prof jwan mwaikusya
prof mwesiga baregu
Salama kabisa mkubwa.Ha ha ha haaa,
Habari za siku CourseMate wangu
Mama hana ugomvi na mtu, usipopata A somo lake la PL 100 basi wewe ni kilaza wa vilaza! Hivi bado yupo?Nimefundishwa na DR sister Kante, niliopt her course PL 100.Hana hiyana mama wa watu
hilo somo aliiachiwa mzee mmoja wa kihaya anaijua falsafa halafu sio dr wa prof nilichoka!Mama hana ugomvi na mtu, usipopata A somo lake la PL 100 basi wewe ni kilaza wa vilaza! Hivi bado yupo?
Duh....prof wa ukweli.Kuna koo nyingine hazijawah hata kutoa aka Prof!
Jamaa anaulizia hapa eti Prof. Maji marefu alikuwa mkufunzi wa idara gani?
Rip, nmefanya naye kazi akiwa director of investment and resource mobilisation (dirm)Dr. Chungu tajiri wa CoET kafa majuzi-R. I. P
Prof Mgongo FimboKwa waliosoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam miaka ya 90 hadi 2010 watakumbuka Cream ya Madaktari na Maprofesa wakali waliokuwapo pale. Sasa hivi wengine wametangulia mbele ya haki, wengine kustaafu na wengine kuacha kazi na kuingia katika siasa hasa ubunge. Leo nimewakumbuka nikawafananisha na timu ya Barcelona wakali hao. Huenda wengine wamefariki halafu sijui kama wajua saidia kuweka RIP na ongeza wengine unaowakumbuka. Sijui sasa hivi hali ikoje kwa upande wa ubora ukilinganisha na wakali hawa
1. Prof. Mathew Luhanga - Vice Chancelor
2. Prof. Mayunga Nkunya
3. Prof John Mshana
4. Prof. Mutabaji
5. Prof. Idris Kikula
6. Prof. Rwekaza Mukandala - Sasa ndiye Vice - Chancelor
7. Prof. Haroub Othmani -R.I.P.
8. Dr. Sengodo Mvungi - R.I.P
9. Prof. Issa Shivji
10. Prof. M. M. Mulokozi
11. Dr. Ndibalema
12. Dr. Hamza Njozi
13. Prof Josephati Maghway
14. Prof. Ishumi
15. Prof. Galabawa
16. Prof. Chachage - R.I.P
17. Dr. A Rwaitama
18. Prof. P. Mlama
19. Dr. Joyce Ndalichako
20. Prof. H. Mwansoko
21. Dr. Mreta
22. Dr. Kadeghe
23. Prof. Omary
24. Dr. B. Massele
Hawa ni baadhi tu ya wakali wa wakati huo baadhi yao bado wapo. Heshima zao sana.
Jamaa alikuwa anashusha nondo balaaDr Ndibalema mzee wa serendipity
EA ndo jina la kozi,