Jill Biden, mke wa Rais wa Marekani kutua Namibia na Kenya leo

Huu ni uongo wa waziwazi kabisa

USSR
 
waache wapite mbali wasitupakae shombo zaushoga
 
Hivi ni kwa nini huwa tunapenda kupondea mambo kabla ya matokeo?

Si tuliambiwa kipindi cha mwendazake tulitengwa sana na mama alinza kuifungua nchi mbona kama haitaki ifunguke?

Sisi tusemeje sasa tunapoona haya?
 
Mike Pence( makamu wa rais Trump) pia alikwenda Kenya or rather alikuja Tanzania ulipokuwepo Uchaguzi Kenya. Interest yao na Kenya ni Obama.
 
Unapitwa vipi? Wakati nchi yetu imeshatembelewa na kina obama, Clinton, bush, jin ping sijui mfululizo..

Sisi tunabahati sana.
 
Hawana faida yoyote hao acha ujinga.
 
Ni koloni lao aje akague tu miradi yao!
 
Siyo vinasaba ni koloni lao! wapo wameshikilia uchumi wa Kenya na ruto uhuru families
 
Wewe kama wewe unapata hasara gani ikiwa hao uliowataja hwatatembelea Tanzania au utapata faida gani ikiwa watakuja hapa Tanzania?

Utakosa kula ugali ikiwa Jill Biden hatakuja nchini kwako?
Umejibu kwa maumivu sana, ikiuma chomoa
 
Basi tuiite Kenya 'semi Africa semi Europe "...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…