Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Hili jimbo kwa ujumla ni gumu kupata mwakilishi sahihi kwa upande wa Chama chetu Tawala.
Ni jimbo liko mjini, lina wapiga kura wataalazi sababu ya literacy level iko juu, na linachangamoto nyingi za barabara, mifereji, wingi wa wanafunzi, wingi wa bodaboda, wafanyabiashara ndogondogo na walipakodi wengine kwa ujumla
Watia nia mpaka sasa kwa stori za town wamefika watu 32.
Kwa waliosikika Paskali, Timothy, Furaha, Gwajima, Yusuphu Mwenda, Emmmanuel Mbasha, Kipi,
Kwa kweli kamati ya kuchuja itabidi ije na vigezo vingi ili kutuletea Mgombea atakayeshindana na Upinzani.
Ni jimbo liko mjini, lina wapiga kura wataalazi sababu ya literacy level iko juu, na linachangamoto nyingi za barabara, mifereji, wingi wa wanafunzi, wingi wa bodaboda, wafanyabiashara ndogondogo na walipakodi wengine kwa ujumla
Watia nia mpaka sasa kwa stori za town wamefika watu 32.
Kwa waliosikika Paskali, Timothy, Furaha, Gwajima, Yusuphu Mwenda, Emmmanuel Mbasha, Kipi,
Kwa kweli kamati ya kuchuja itabidi ije na vigezo vingi ili kutuletea Mgombea atakayeshindana na Upinzani.