Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nazani ilipaswa swali moja wanalijubu wate!! sio huyu unamuuliza swali hili na mwingine swali lingine!..Aisha Madoga ni mgombea wa Chadema.
..Antony Mavunde ni mgombea wa CCM.
..Wagombea wote wameonyesha weledi kutetea hoja zao.
Mi nazani ilipaswa swali moja wanalijubu wate!! sio huyu unamuuliza swali hili na mwingine swali lingine!
huyo madoga amekosa kazi ya kufanya, ivi CDM mlikosa mtu sahihi wa kumpa changamoto mh Antony Mavunde??..Aisha Madoga ni mgombea wa Chadema.
..Antony Mavunde ni mgombea wa CCM.
..Wagombea wote wameonyesha weledi kutetea hoja zao.
huyo madoga amekosa kazi ya kufanya, ivi CDM mlikosa mtu sahihi wa kumpa changamoto mh Antony Mavunde??
Daah pole ake huyu dada
huyo madoga amekosa kazi ya kufanya, ivi CDM mlikosa mtu sahihi wa kumpa changamoto mh Antony Mavunde??
Daah pole ake huyu dada
Hapana.Mi nazani ilipaswa swali moja wanalijubu wate!! sio huyu unamuuliza swali hili na mwingine swali lingine!
Sawa mkuu nahesimu maoni yako!!Hapana.
Maswali yanayofanana kwa wote yatawanyima uhuru wa kujieleza hasa pale wanapoweza kuwa na majibu yanayofanana, utawalazimisha kuongea kitu cha tofauti ili kukwepa kufanana na jibu la aliemtangulia, kitu kinachoweza kupunguza credit kwa anaejibu aonekane hajui kumbe alikuwa anajua akaogopa kuonekana ameibia kwa mwenzake, hii itachangia kupunguza ladha ya mdahalo.
Maswali tofauti ndio mazuri kupima intelligence ya wahusika.
Id za mwaka huu za ccm kwa ajili ya kampeni kazini.
[/QUOTEenheee tulia hivyo hivyoooo, eeh psiiii tulia sindano ikuingiee,,eee waaaah,safi umepona,hongera!😉😁😂
Pia huyu kijani yafaa tumkague kwenye hiyo billioni mbili kama no ya mfukoni kwake,ama ya walipa kodi ama kunautakatishaji noti.Id za mwaka huu za ccm kwa ajili ya kampeni kazini.