Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
safari hii patachimbikaLakini Lukuvi ni mwizi mbobezi wa kura. Hapo ndipo penye changamoto kubwa.
Tena mpachimbe haswa mpaka afukiwe. CCM mwaka huu wameshikwa pabaya!Safari hii patachimbika
Engine inachemshaMbinu ya cdm na Lissu nchi nzima ni ileile kutafuta sehemu finyu kufanyia mikutano ili wananchi wabanane na wakanyagane na kuleta picha mitandaoni kuonesha walio hudhuria ni wengi.
28/10 bye byeMuda wa siasa za ujanja ujanja wa kutumia umasikini wa wananchi ili kujinufaisha binafsi umekwisha
Lukuvi anajiandaa kugalauka jukwaani siku ya kufunga kampeni tarehe 27. Hali yake ni tete kweli kweli.Naskia wana isimani hawamtaki kweli Lukuvi mwaka huu. Kweli Tanzania imeamka hakika
Safi sana.Lukuvi anajiandaa kugalauka jukwaani siku ya kufunga kampeni tarehe 27. Hapi yake ni tete kweli kweli.
Engine inachemshaView attachment 1606720
makamanda kwa kudanganyana... siku ya uchaguz lukuv anaacha kot hapa isiman ye atakua dar ila bado dg hapat kura 500Lukuvi anajiandaa kugalauka jukwaani siku ya kufunga kampeni tarehe 27. Hapi yake ni tete kweli kweli.
Unateseka??Mbinu ya cdm na Lissu nchi nzima ni ileile kutafuta sehemu finyu kufanyia mikutano ili wananchi wabanane na wakanyagane na kuleta picha mitandaoni kuonesha walio hudhuria ni wengi.
Sawa dada yake na kichaa mmojaSijagundua kitu zaidi ya neno engine isiyo onekana hapo. Na hiyo comment ya kichaa mmoja.
Unateseka??