Uchaguzi 2020 Jimbo la Isimani latarajia mabadiliko makubwa Oktoba 28

Kuna mgombea mmoja anaomba kura kwa kupiga magoti. unaelewa tafsiri yake? Nikusaidie tu "kuna mwamba anawapeleka mchakamchaka" hana uhakika na kesho yake....
 
Mchawi yeyote anayetaka kusaliti harakati hizi hafai.

Membe tulimgundua zamani. ACT walichelewa.

Siku ya ufumbuzi wa Katiba ya ACT Tundu Lissu alikuwepo na alimwambia Membe karibu sana upinzani huku ni kugumu sana
 
Mbinu ya Chadema na Lissu nchi nzima ni ileile kutafuta sehemu finyu kufanyia mikutano ili wananchi wabanane na wakanyagane na kuleta picha mitandaoni kuonesha walio hudhuria ni wengi.
Baba licha ya eneo finyu kuna wagombea wa kijani wakiwa na bendi za muziki lakini wahudhuriaji kwenye mkutano ni watumbuizaji na wagombea, hapo je!!!!??
 
Katika Jimbo hili Chadema hawawezi hata asilimia 10 ya kura, ila humu JF Ismani wanataka mabadiliko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…