Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Anajiropokea tu [emoji1787]Soma katiba wewe chawa, ndani ya miezi 12 kabla ya bunge kuvunjwa hakuna uchaguzi utafanyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajiropokea tu [emoji1787]Soma katiba wewe chawa, ndani ya miezi 12 kabla ya bunge kuvunjwa hakuna uchaguzi utafanyika
Mkuu wala sijajiropokea na sijamuelewa vizuri huyo ndugu.Anajiropokea tu [emoji1787]
Kwanini alazimike kujiuzulu ubunge?Mkuu wala sijajiropokea na sijamuelewa vizuri huyo ndugu.
Kwenye posti yangu sijaongelea suala la kufanyika uchaguzi nimesema jimbo linakuwa wazi.
Kwa nafasi aliyochaguliwa Ndungulile atalazimika kujiuzulu ubunge .
Kwa hiyo Jimbo La Kigamboni Litakuwa halina mbunge
Masharti ya hiyo nafasiKwanini alazimike kujiuzulu ubunge?
Atapita bila wasiwasi 😅Konda boy atatupa karata yake 2025.
Ni kweli jimbo liko wazi ila kwa mujibu wa katiba yetu, jimbo likiwa wazi chini ya miezi 12 kabla ya kuvunjwa Bunge, hakutafanyika uchaguzi mdogo wowote.
Ibara ya 49 (5) ya Sheria Mpya ya Uchaguzi inasema (5) Endapo uchaguzi mdogo unatakiwakufanyika na tarehe ya kuvunjwa kwa Bungeimetangazwa au imejulikana kwa mujibu wa matukioyaliyoainishwa katika Ibara ya 90(3) ya Katiba,uchaguzi mdogo hautafanyika katika muda wowotewakati wa kipindi cha miezi kumi na mbili mara tubaada ya tarehe ya kuvunjwa kwa Bunge.
Ndio maana pia nimewashauri hata wale rafiki zangu wenye wivu wa kike kuwaonea vivu wale wanawake mashujaa 19, waachane nao tuu, kwasababu hakuna uchaguzi wowote au uteuzi isipokuwa kwa nafasi za Rais tuu!. Ushauri wa bure: CHADEMA iachane na issue ya Wabunge wake 19, iwasamehe waendelee na Ubunge wao. Kwa muda uliobakia kuwatengua hakuna maslahi yoyote!
P
Kama kutukana kutaku release, tukana tuu ili u vent.Kwanini watu wengine hubembeleza wenzao wawatukane? COVID 19 hawatakiwi Sio Bungeni Tu Bali hata duniani.
Hawa UWT ni wajinga snAnajiropokea tu [emoji1787]
Kwa sasa hawezi maana kizuizi pale alikua huyo jamaa tu aliyeondoka,, kwa sasa akirudi lazima achukue jimboAtapita bila wasiwasi 😅
Ila ajue itakuwa ni Risk number Two 😳🤣
Anaweza akajikuta amekaa kijiweni tena mara nyingine 😆😀
Ngoja Tusubiri tuone !Kwa sasa hawezi maana kizuizi pale alikua huyo jamaa tu aliyeondoka,, kwa sasa akirudi lazima achukue jimbo
Nipo tayari kua chawa wako