Jimbo la Kigamboni lipo wazi, hongera Ndugulile

Jimbo la Kigamboni lipo wazi, hongera Ndugulile

Anajiropokea tu [emoji1787]
Mkuu wala sijajiropokea na sijamuelewa vizuri huyo ndugu.
Kwenye posti yangu sijaongelea suala la kufanyika uchaguzi nimesema jimbo linakuwa wazi.
Kwa nafasi aliyochaguliwa Ndungulile atalazimika kujiuzulu ubunge .
Kwa hiyo Jimbo La Kigamboni Litakuwa halina mbunge
 
Mkuu wala sijajiropokea na sijamuelewa vizuri huyo ndugu.
Kwenye posti yangu sijaongelea suala la kufanyika uchaguzi nimesema jimbo linakuwa wazi.
Kwa nafasi aliyochaguliwa Ndungulile atalazimika kujiuzulu ubunge .
Kwa hiyo Jimbo La Kigamboni Litakuwa halina mbunge
Kwanini alazimike kujiuzulu ubunge?
 
Ni kweli jimbo liko wazi ila kwa mujibu wa katiba yetu, jimbo likiwa wazi chini ya miezi 12 kabla ya kuvunjwa Bunge, hakutafanyika uchaguzi mdogo wowote.

Ibara ya 49 (5) ya Sheria Mpya ya Uchaguzi inasema (5) Endapo uchaguzi mdogo unatakiwakufanyika na tarehe ya kuvunjwa kwa Bungeimetangazwa au imejulikana kwa mujibu wa matukioyaliyoainishwa katika Ibara ya 90(3) ya Katiba,uchaguzi mdogo hautafanyika katika muda wowotewakati wa kipindi cha miezi kumi na mbili mara tubaada ya tarehe ya kuvunjwa kwa Bunge.

Ndio maana pia nimewashauri hata wale rafiki zangu wenye wivu wa kike kuwaonea vivu wale wanawake mashujaa 19, waachane nao tuu, kwasababu hakuna uchaguzi wowote au uteuzi isipokuwa kwa nafasi za Rais tuu!. Ushauri wa bure: CHADEMA iachane na issue ya Wabunge wake 19, iwasamehe waendelee na Ubunge wao. Kwa muda uliobakia kuwatengua hakuna maslahi yoyote!

P

Kwanini watu wengine hubembeleza wenzao wawatukane? COVID 19 hawatakiwi Sio Bungeni Tu Bali hata duniani.
 
Atapita bila wasiwasi 😅
Ila ajue itakuwa ni Risk number Two 😳🤣
Anaweza akajikuta amekaa kijiweni tena mara nyingine 😆😀
Kwa sasa hawezi maana kizuizi pale alikua huyo jamaa tu aliyeondoka,, kwa sasa akirudi lazima achukue jimbo
 
Back
Top Bottom