Jimbo la Manonga - Wilaya ya Igunga

Jimbo la Manonga - Wilaya ya Igunga

Asili ya Nyerere siyo utusini!?..ulishawahi kulia!?..mkapa siyo msumbiji!...ule uuzaji wa mashirika ya umma kwa Bei ya beberu 11 haikutokana na kuwa na asili ya msumbiji!?..ulibweka!?
Wajinga nyie, hakuna wazawa wakuweza(wasukuma) kuwaongoza? mnapewa rushwa za elf 5 5 mnauza utu. Amkeni
 
Wajinga wakubwa nyie, Rostam alichuma akaawachia nyumba za tembe tupu, huyu kaja kumalizia kila kitu, Hakuna wasukuma waliosoma mpk muongozwe na wahindi? shame on you
Mjinga wewe unayeona rangi za ngozi,sisi hatuna akili za vipepeo,tunaona watu tu,rostam yupo mwisi toka 1800,we babu zako wametokea Malawi na bado huna mchango wowote kwenye nchi ukilinganisha na rostam
 
Mjinga wewe unayeona rangi za ngozi,sisi hatuna akili za vipepeo,tunaona watu tu,rostam yupo mwisi toka 1800,we babu zako wametokea Malawi na bado huna mchango wowote kwenye nchi ukilinganisha na rostam
Mtaendelea kuongozwa na watu wa kuja sababu ya kukosa akili, Rostam aliacha nini pale zaidi ya nyumba za tembe tena Igunga mjini main road? shame on you
 
Kwa nini unataka waongoze wasukuma wakati igunga Kuna makabila mengi!?..we mbaguzi wa kaskazini!?..mtaisikia ikulu redioni
Ndiyo maana kaskazini kuna maendeleo hakuna Mhindi wala Mwarabu, kwani Ikulu ndiyo inaleta maendeleo? angalia Pwani na Zanzibar wana nini?
 
Mtaendelea kuongozwa na watu wa kuja sababu ya kukosa akili, Rostam aliacha nini pale zaidi ya nyumba za tembe tena Igunga mjini main road? shame on you
Ulitaka awajengee nyumba!?..huko kwenu mbunge wenu kawajengea nyumba!?..halafu akina rostam Wana mbuga yao igunga wanaendeleza kilimo wamechimba na bwawa
 
Mbunge mpumbavu sana wewe. Kwani wananchi wa Manonga hawalupi Kodi hadi unaishukuru serikali kwa kutimiza wajibu wake? Upuuzi kabisa huu.

2025 ukirudi bungeni nasimama paleee, uniitee huhuhuhu!
 
Ndiyo maana kaskazini kuna maendeleo hakuna Mhindi wala Mwarabu, kwani Ikulu ndiyo inaleta maendeleo? angalia Pwani na Zanzibar wana nini?
Moshi imeizidi nini Zanzibar!?..Moshi Kuna maendeleo gani!?..Arusha vijana kutwa kucha ugoro,pombe, bangi,hawana mbele Wala nyuma
 
Mbunge mpumbavu sana wewe. Kwani wananchi wa Manonga hawalupi Kodi hadi unaishukuru serikali kwa kutimiza wajibu wake? Upuuzi kabisa huu.

2025 ukirudi jimboni nasimama paleee, uniitee huhuhuhu!
Wazazi wakitimiza wajibu wao huwashukuru
 
Ulitaka awajengee nyumba!?..huko kwenu mbunge wenu kawajengea nyumba!?..halafu akina rostam Wana mbuga yao igunga wanaendeleza kilimo wamechimba na bwawa
Kaskazini umewahi kuona nyumba za tembe? maghorofa mpk vijijini, madarasa hayana wanafunzi wala hakuna upungufu wa maji ama madawati, acheni ujinga amkeni. Nenda na wewe India ukawe hata VEO tuone
 
Moshi imeizidi nini Zanzibar!?..Moshi Kuna maendeleo gani!?..Arusha vijana kutwa kucha ugoro,pombe, bangi,hawana mbele Wala nyuma
Arusha ni Geneva of Africa mpuuzi wewe, umewahi kufika Unguja na Pemba? Mpuuzi nini Moshi ulinganishe na takataka? Igunga badilikeni Kahama huwezi kuona Mhindi wala Mwarabu anatawala ndiyo maana kuna maendeleo makubwa.
 
Kaskazini umewahi kuona nyumba za tembe? maghorofa mpk vijijini, madarasa hayana wanafunzi wala hakuna upungufu wa maji ama madawati, acheni ujinga amkeni. Nenda na wewe India ukawe hata VEO tuone
Unadanganya nani babu!?..pangekua pameendelea mngerudi disemba Kama ng'ombe toka kwenye miji ya wengine!?
 
Arusha ni Geneva of Africa mpuuzi wewe, umewahi kufika Unguja na Pemba? Mpuuzi nini Moshi ulinganishe na takataka? Igunga badilikeni Kahama huwezi kuona Mhindi wala Mwarabu anatawala ndiyo maana kuna maendeleo makubwa.
Sasa kahama Kuna maendeleo gani!?..Moshi imeizidi nini unguja!?..Arusha si Kuna ukumbi wa mikutano mmoja iacc basi,mji kwa baiskeli unamaliza pande zote ndani ya nusu saa,watu maisha duni
 
Acha ubishi wa kijinga kajifunze hata Kahama hawana upumbavu wa kuongozwa na Mhindi wala Mwarabu ndiyo maana Kahama ni kubwa kuliko hata Unguja, kurudi Desemba ni utamaduni mzuri wa ndugu kukaa pamoja.
Kwa nini hamkai kwenu Kama pameendelea kuliko kwingine!?.. disemba mnarudi Kama ng'ombe,makundi kwa makundi
 
Acha ujinga, wewe nenda India ukawe hata Mwenyekiti wa Kitongoji tuone
At just 39, mother-of-three Tanzeela Qambrani has made history. Qambrani secured a seat in the legislature of Sindh province in Pakistan, making her the first member of the Sheedi minority to become a lawmaker in Pakistan. Unlike other minorities in the country, the Sheedis can trace their roots far beyond Sindh — they are the descendants of the African slaves, sailors, and soldiers who made South Asia their home in centuries past.

Source: THE DIPLOMAT

Hicho ni kisa cha Tanzeela Qambrani MPAKISTANI MWENYE ASILI YA AFRIKA MASHARIKI.

Tanzeela Qambrani

Nawewe unakomaa na huyu Mtanzania Seif Khamis Gulamali
👇
View attachment 2802406
photo-FB-4.jpg

Ndugu Netanyahu acha roho mbaya.
 
Back
Top Bottom