Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Liberatus anafanya kazi Marekani mambo ya afya ya jamii? kuna jamaa anajina hili hili kipindi cha covid-19, Azam TV walikuwa wanafanya nae mahojiano Mara kwa Mara kuhusu hali ya covid 19 America. Huwa namfananisha sana na yeyeLibe is the real deal. America does not train idiots
Aliyesema atauwa upinzani next week anakufa yeye kisiasaMungu endelea kuibariki Chademana watu wake.
Eeeeeh Mungu saidiaa yasitokeee ya wajumbeWanasiasa hawaaminiki mia kwa mia na wapigakura hawatabiriki sawa na wajumbetu.
Kuna wagombea hawataamini mbao za matangazo ya uchaguzi
Kazi imeisha hiyo.Hii ni baada ya wananchi wa jimbo hilo kukubaliana kwamba mbunge wao atatokana na CHADEMA , ambaye ni Liberatus Mwang'ombe .
Angalia ushahidi huu kutoka Ubaruku
View attachment 1611025View attachment 1611026View attachment 1611027View attachment 1611028
Huyu kijana ana network ya kutisha worldwideLibe is the real deal. America does not train idiots
Hizi kura zooote zinaenda kwa Lissu??Hii ni baada ya wananchi wa jimbo hilo kukubaliana kwamba mbunge wao atatokana na CHADEMA , ambaye ni Liberatus Mwang'ombe .
Angalia ushahidi huu kutoka Ubaruku
View attachment 1611025View attachment 1611026View attachment 1611027View attachment 1611028
Huyu Libe kama yule mshikaji Genius, namuonaga Fox News na BBC ndio power behind him kama nilivyosikia, basi atafika mbali sana. Jamaa is connected and very powerful kwa mwafrika. Alikuwa anaandikaga economic articles hapa JFHuyu kijana ana network ya kutisha worldwide
umeuliza majibu mkuu , Lissu kateketeza vijiji vyote , wakulima wote waliodhulumiwa wameahidi kumpa Lissu kura zoteHizi kura zooote zinaenda kwa Lissu??